Filed Under:
vibonzo
on Wednesday, December 17, 2014
Loading...
Home » All posts
TIDO AJIUNGA AZAM MEDIA.
![]() |
Tido Mhando |
Akizungumza jana jijini Dar es Salaam, Naibu
Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Uhai Production Ltd iliyo chini ya
Azam Media, Tido Mhando alisema kuwa mpango uliopo sasa ni kuhakikisha
matangazo ya televisheni na redio yanawafikia wananchi kwa weledi wa
hali ya juu.
Akizungumzia uteuzi wake, Mhando alisema uteuzi
huo umempa changamoto ya kufanya kazi kwa ufanisi ili kuifanya Azam
Media kuwa kampuni bora katika utoaji wa habari na burudani ukanda wa
Afrika.
“Ninayo furaha kubwa kujiunga na Azam Media, pia
na changamoto kubwa zilizopo mbele yetu kuifanya kuwa kampuni pekee ya
televisheni na redio yenye ubora katika kutoa burudani hapa nchini na
ukanda wote wa Afrika,” alisema Mhando.
Mhando aliyewahi kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa
Mwananchi Communications Limited (MCL), alisema kwa sasa ujenzi wa
studio za kisasa Afrika Mashariki na Kati unafanyika na utakapokamilika,
itakuwa ya aina yake kwa Afrika Mashariki na Kati.
Akizungumzia uteuzi wa Mhando, Mkurugenzi Mtendaji
Mkuu wa Azam Media Ltd, Rhys Torrington alisema uteuzi huo umefanyika
huku wakitarajia makubwa kutoka kwa nguli huyo wa tasnia ya habari
katika kuipeleka mbali Azam Tv.
Tunayo faraja kubwa kwa Tido kujiunga nasi wakati
tunakaribia kutimiza mwaka wetu wa kwanza tangu kuanza kutoa huduma na
Azam Tv,” alisema Torrington.
on
JK AMTEUA CAG MPYA.
![]() |
Prof Mussa Juma Assad |
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya
Mrisho Kikwete amemteua Profesa Mussa Juma Assad kuwa Mdhibiti na
Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG).
Taarifa iliyotolewa leo, Jumatatu, Desemba Mosi,
2014 na Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue, inasema kuwa uteuzi
wa Bwana Assad ulianza Novemba 5, mwaka huu, 2014.
Taarifa hiyo imeongeza kuwa Bwana Assad ataapishwa kesho, Jumanne, Desemba 2, saa nne asubuhi, Ikulu, Dar es Salaam.
Kabla ya uteuzi wake, Bwana Assad alikuwa Profesa
Mshiriki, Idara ya Uhasibu, Chuo Kikuu cha Dar es Salaam na anachukua
nafasi ya Bwana Ludovick Utouh ambaye amestaafu kwa mujibu wa Sheria za
Utumishi wa Umma.
Profesa Assad ni msomi, mwenye weledi, ujuzi na
uzoefu mkubwa wa uhasibu na udhibiti wa fedha ambaye ana Shahada ya
Uzamivu wa Uhasibu (PHD in Accounting) kutoka Chuo Kikuu cha
Southampton, Uingereza mwaka 2001 na Shahada ya Uzamivu katika Udhibiti
wa Fedha (MA in Financial Accounting) kutoka Chuo Kikuu cha Dublin City,
Jamhuri ya Ireland mwaka 1991.
Profesa Assad pia ana Stashahada ya Kitaaluma ya
Uhasibu (Professional Diploma in Accounting) kutoka Chuo Kikuu cha
Dublin City mwaka 1990 na Shahada ya Biashara (Bachelor of Commerce) ya
Chuo Kikuu cha Dar Es Salaam mwaka 1988.
Pamoja na uzoefu wa kitaaluma, Profesa Assad anao
uzoefu mkubwa katika eneo la uhasibu na ukaguzi. Alikuwa Mwenyekiti wa
Bodi ya Wahasibu na Wakaguzi (NBAA) kwa miaka saba (2007 - 2014); ni
Rais na Mjumbe wa Chama cha Wahasibu Afrika (Pan African Federation of
Accountants) tangu mwaka 2012; na ni mjumbe wa Bodi kadhaa za
Wakurugenzi nchini Tanzania.
Katika kumteua Profesa Assad kuwa Mdhibiti na
Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali, Rais anayo imani kubwa kuwa elimu,
weledi, ujuzi na uzoefu ambao Profesa Assad anao utamwezesha kutekeleza
vema majukumu ya nafasi hiyo muhimu sana katika utawala bora wa nchi
yetu.
THE UNITED REPUBLIC OF
TANZANIA
DIRECTORATE OF PRESIDENTIAL COMMUNICATIONS
PRESIDENT’S OFFICE,
STATE HOUSE,
1 BARACK OBAMA ROAD,
11400 DAR ES SALAAM.
Tanzania.
Telephone: 255-22-2114512, 2116898
E-mail: ikulucommpress@googlemail.com
Website : www.ikulu.go.tz
Fax: 255-22-2113425
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho
Kikwete amemteua Profesa Mussa Juma Assad kuwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu
wa Hesabu za Serikali (CAG).
Taarifa iliyotolewa leo, Jumatatu, Desemba Mosi, 2014 na Katibu Mkuu
Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue, inasema kuwa uteuzi wa Bwana Assad
ulianza Novemba 5, mwaka huu, 2014.
Taarifa hiyo imeongeza kuwa Bwana Assad ataapishwa kesho, Jumanne,
Desemba 2, saa nne asubuhi, Ikulu, Dar es Salaam.
Kabla ya uteuzi wake, Bwana Assad alikuwa Profesa Mshiriki, Idara ya
Uhasibu, Chuo Kikuu cha Dar es Salaam na anachukua nafasi ya Bwana
Ludovick Utouh ambaye amestaafu kwa mujibu wa Sheria za Utumishi wa
Umma.
Profesa Assad ni msomi, mwenye weledi, ujuzi na uzoefu mkubwa wa uhasibu
na udhibiti wa fedha ambaye ana Shahada ya Uzamivu wa Uhasibu (PHD in
Accounting) kutoka Chuo Kikuu cha Southampton, Uingereza mwaka 2001 na
Shahada ya Uzamivu katika Udhibiti wa Fedha (MA in Financial Accounting)
kutoka Chuo Kikuu cha Dublin City, Jamhuri ya Ireland mwaka 1991.
Profesa Assad pia ana Stashahada ya Kitaaluma ya Uhasibu (Professional
Diploma in Accounting) kutoka Chuo Kikuu cha Dublin City mwaka 1990 na
Shahada ya Biashara (Bachelor of Commerce) ya Chuo Kikuu cha Dar Es
Salaam mwaka 1988.
Pamoja na uzoefu wa kitaaluma, Profesa Assad anao uzoefu mkubwa katika
eneo la uhasibu na ukaguzi. Alikuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wahasibu na
Wakaguzi (NBAA) kwa miaka saba (2007 - 2014); ni Rais na Mjumbe wa Chama
cha Wahasibu Afrika (Pan African Federation of Accountants) tangu mwaka
2012; na ni mjumbe wa Bodi kadhaa za Wakurugenzi nchini Tanzania.
Katika kumteua Profesa Mussa Juma ASSAD kuwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa
Hesabu za Serikali, Rais anayo imani kubwa kuwa elimu, weledi, ujuzi na
uzoefu ambao Profesa Assad anao utamwezesha kutekeleza vema majukumu ya
nafasi hiyo muhimu sana katika utawala bora wa nchi yetu.
Imetolewa na:
Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais,
Ikulu – Dar es Salaam.
1 Desemba,2014
Make Money at : http://bit.ly/copy_win
Make Money at : http://bit.ly/copy_win
THE UNITED REPUBLIC OF
TANZANIA
DIRECTORATE OF PRESIDENTIAL COMMUNICATIONS
PRESIDENT’S OFFICE,
STATE HOUSE,
1 BARACK OBAMA ROAD,
11400 DAR ES SALAAM.
Tanzania.
Telephone: 255-22-2114512, 2116898
E-mail: ikulucommpress@googlemail.com
Website : www.ikulu.go.tz
Fax: 255-22-2113425
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho
Kikwete amemteua Profesa Mussa Juma Assad kuwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu
wa Hesabu za Serikali (CAG).
Taarifa iliyotolewa leo, Jumatatu, Desemba Mosi, 2014 na Katibu Mkuu
Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue, inasema kuwa uteuzi wa Bwana Assad
ulianza Novemba 5, mwaka huu, 2014.
Taarifa hiyo imeongeza kuwa Bwana Assad ataapishwa kesho, Jumanne,
Desemba 2, saa nne asubuhi, Ikulu, Dar es Salaam.
Kabla ya uteuzi wake, Bwana Assad alikuwa Profesa Mshiriki, Idara ya
Uhasibu, Chuo Kikuu cha Dar es Salaam na anachukua nafasi ya Bwana
Ludovick Utouh ambaye amestaafu kwa mujibu wa Sheria za Utumishi wa
Umma.
Profesa Assad ni msomi, mwenye weledi, ujuzi na uzoefu mkubwa wa uhasibu
na udhibiti wa fedha ambaye ana Shahada ya Uzamivu wa Uhasibu (PHD in
Accounting) kutoka Chuo Kikuu cha Southampton, Uingereza mwaka 2001 na
Shahada ya Uzamivu katika Udhibiti wa Fedha (MA in Financial Accounting)
kutoka Chuo Kikuu cha Dublin City, Jamhuri ya Ireland mwaka 1991.
Profesa Assad pia ana Stashahada ya Kitaaluma ya Uhasibu (Professional
Diploma in Accounting) kutoka Chuo Kikuu cha Dublin City mwaka 1990 na
Shahada ya Biashara (Bachelor of Commerce) ya Chuo Kikuu cha Dar Es
Salaam mwaka 1988.
Pamoja na uzoefu wa kitaaluma, Profesa Assad anao uzoefu mkubwa katika
eneo la uhasibu na ukaguzi. Alikuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wahasibu na
Wakaguzi (NBAA) kwa miaka saba (2007 - 2014); ni Rais na Mjumbe wa Chama
cha Wahasibu Afrika (Pan African Federation of Accountants) tangu mwaka
2012; na ni mjumbe wa Bodi kadhaa za Wakurugenzi nchini Tanzania.
Katika kumteua Profesa Mussa Juma ASSAD kuwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa
Hesabu za Serikali, Rais anayo imani kubwa kuwa elimu, weledi, ujuzi na
uzoefu ambao Profesa Assad anao utamwezesha kutekeleza vema majukumu ya
nafasi hiyo muhimu sana katika utawala bora wa nchi yetu.
Imetolewa na:
Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais,
Ikulu – Dar es Salaam.
1 Desemba,2014
Make Money at : http://bit.ly/copy_win
Make Money at : http://bit.ly/copy_win
THE UNITED REPUBLIC OF
TANZANIA
DIRECTORATE OF PRESIDENTIAL COMMUNICATIONS
PRESIDENT’S OFFICE,
STATE HOUSE,
1 BARACK OBAMA ROAD,
11400 DAR ES SALAAM.
Tanzania.
Telephone: 255-22-2114512, 2116898
E-mail: ikulucommpress@googlemail.com
Website : www.ikulu.go.tz
Fax: 255-22-2113425
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho
Kikwete amemteua Profesa Mussa Juma Assad kuwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu
wa Hesabu za Serikali (CAG).
Taarifa iliyotolewa leo, Jumatatu, Desemba Mosi, 2014 na Katibu Mkuu
Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue, inasema kuwa uteuzi wa Bwana Assad
ulianza Novemba 5, mwaka huu, 2014.
Taarifa hiyo imeongeza kuwa Bwana Assad ataapishwa kesho, Jumanne,
Desemba 2, saa nne asubuhi, Ikulu, Dar es Salaam.
Kabla ya uteuzi wake, Bwana Assad alikuwa Profesa Mshiriki, Idara ya
Uhasibu, Chuo Kikuu cha Dar es Salaam na anachukua nafasi ya Bwana
Ludovick Utouh ambaye amestaafu kwa mujibu wa Sheria za Utumishi wa
Umma.
Profesa Assad ni msomi, mwenye weledi, ujuzi na uzoefu mkubwa wa uhasibu
na udhibiti wa fedha ambaye ana Shahada ya Uzamivu wa Uhasibu (PHD in
Accounting) kutoka Chuo Kikuu cha Southampton, Uingereza mwaka 2001 na
Shahada ya Uzamivu katika Udhibiti wa Fedha (MA in Financial Accounting)
kutoka Chuo Kikuu cha Dublin City, Jamhuri ya Ireland mwaka 1991.
Profesa Assad pia ana Stashahada ya Kitaaluma ya Uhasibu (Professional
Diploma in Accounting) kutoka Chuo Kikuu cha Dublin City mwaka 1990 na
Shahada ya Biashara (Bachelor of Commerce) ya Chuo Kikuu cha Dar Es
Salaam mwaka 1988.
Pamoja na uzoefu wa kitaaluma, Profesa Assad anao uzoefu mkubwa katika
eneo la uhasibu na ukaguzi. Alikuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wahasibu na
Wakaguzi (NBAA) kwa miaka saba (2007 - 2014); ni Rais na Mjumbe wa Chama
cha Wahasibu Afrika (Pan African Federation of Accountants) tangu mwaka
2012; na ni mjumbe wa Bodi kadhaa za Wakurugenzi nchini Tanzania.
Katika kumteua Profesa Mussa Juma ASSAD kuwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa
Hesabu za Serikali, Rais anayo imani kubwa kuwa elimu, weledi, ujuzi na
uzoefu ambao Profesa Assad anao utamwezesha kutekeleza vema majukumu ya
nafasi hiyo muhimu sana katika utawala bora wa nchi yetu.
Imetolewa na:
Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais,
Ikulu – Dar es Salaam.
1 Desemba,2014
Make Money at : http://bit.ly/copy_win
Make Money at : http://bit.ly/copy_win
THE UNITED REPUBLIC OF
TANZANIA
DIRECTORATE OF PRESIDENTIAL COMMUNICATIONS
PRESIDENT’S OFFICE,
STATE HOUSE,
1 BARACK OBAMA ROAD,
11400 DAR ES SALAAM.
Tanzania.
Telephone: 255-22-2114512, 2116898
E-mail: ikulucommpress@googlemail.com
Website : www.ikulu.go.tz
Fax: 255-22-2113425
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho
Kikwete amemteua Profesa Mussa Juma Assad kuwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu
wa Hesabu za Serikali (CAG).
Taarifa iliyotolewa leo, Jumatatu, Desemba Mosi, 2014 na Katibu Mkuu
Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue, inasema kuwa uteuzi wa Bwana Assad
ulianza Novemba 5, mwaka huu, 2014.
Taarifa hiyo imeongeza kuwa Bwana Assad ataapishwa kesho, Jumanne,
Desemba 2, saa nne asubuhi, Ikulu, Dar es Salaam.
Kabla ya uteuzi wake, Bwana Assad alikuwa Profesa Mshiriki, Idara ya
Uhasibu, Chuo Kikuu cha Dar es Salaam na anachukua nafasi ya Bwana
Ludovick Utouh ambaye amestaafu kwa mujibu wa Sheria za Utumishi wa
Umma.
Profesa Assad ni msomi, mwenye weledi, ujuzi na uzoefu mkubwa wa uhasibu
na udhibiti wa fedha ambaye ana Shahada ya Uzamivu wa Uhasibu (PHD in
Accounting) kutoka Chuo Kikuu cha Southampton, Uingereza mwaka 2001 na
Shahada ya Uzamivu katika Udhibiti wa Fedha (MA in Financial Accounting)
kutoka Chuo Kikuu cha Dublin City, Jamhuri ya Ireland mwaka 1991.
Profesa Assad pia ana Stashahada ya Kitaaluma ya Uhasibu (Professional
Diploma in Accounting) kutoka Chuo Kikuu cha Dublin City mwaka 1990 na
Shahada ya Biashara (Bachelor of Commerce) ya Chuo Kikuu cha Dar Es
Salaam mwaka 1988.
Pamoja na uzoefu wa kitaaluma, Profesa Assad anao uzoefu mkubwa katika
eneo la uhasibu na ukaguzi. Alikuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wahasibu na
Wakaguzi (NBAA) kwa miaka saba (2007 - 2014); ni Rais na Mjumbe wa Chama
cha Wahasibu Afrika (Pan African Federation of Accountants) tangu mwaka
2012; na ni mjumbe wa Bodi kadhaa za Wakurugenzi nchini Tanzania.
Katika kumteua Profesa Mussa Juma ASSAD kuwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa
Hesabu za Serikali, Rais anayo imani kubwa kuwa elimu, weledi, ujuzi na
uzoefu ambao Profesa Assad anao utamwezesha kutekeleza vema majukumu ya
nafasi hiyo muhimu sana katika utawala bora wa nchi yetu.
Imetolewa na:
Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais,
Ikulu – Dar es Salaam.
1 Desemba,2014
Make Money at : http://bit.ly/copy_win
Make Money at : http://bit.ly/copy_win
on
JK agusia ujana urais 2015
Wakati mbio za kuwania urais katika Uchaguzi Mkuu 2015 zikianza
kushika kasi nchini, Rais Jakaya Kikwete amewataka vijana kumchagua mtu
anayefanana na kijana kurithi nafasi yake.
Kauli hiyo ya Rais Kikwete imekuja huku kukiwa na
makada kadhaa ndani ya chama chake ambao wametangaza nia ya kuwania
nafasi hiyo huku baadhi wakifungiwa kwa kuanza kampeni mapema na wengine
wakiendelea na mikakati ya chinichini kabla ya kujitangaza.
Rais Kikwete alisema hayo jana mjini Tabora
alipokuwa akihutubia wananchi waliohudhuria kumbukumbu ya Baba wa Taifa,
Mwalimu Julius Nyerere zilizokwenda sambamba na kilele cha Wiki ya
Vijana na hitimisho la Mbio za Mwenge wa Uhuru.
chanzo : gazeti la mwananchi
chanzo : gazeti la mwananchi
on
Lori la mafuta lalipuka laua, lajeruhi 19 Dar
Dar es Salaam. Moto mkubwa umeua mtu mmoja na kujeruhi wengine
19 waliokuwa wanachota mafuta ya petroli yaliyomwagika baada ya lori
kupinduka.
Tukio hilo lilitokea juzi saa 5.15 usiku wakati
lori hilo liliposhindwa kukata kona kwenye mzunguko wa Mbagala Rangi
Tatu jijini Dar es Salaam na kuanguka kwenye mtaro.
Kaimu Kamanda wa Polisi Temeke, Nyigesa Wankyo
alimtaja aliyekufa katika tukio hilo kuwa ni Masoud Masoud mkazi wa
Mbagala Charambe.
Alisema baadhi ya majeruhi wa moto huo wamelazwa katika Hospitali ya Temeke na wengine Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH).
Mlipuko wa tanki hilo ulisababisha taharuki kwa
wakazi wa Mbagala na maeneo ya jirani ambao walidhani ni mlio wa bomu,
kutokana na kumbukumbu ya milipuko ya mabomu katika kambi ya jeshi
iliyotokea Aprili 29 mwaka 2009.
Fatma Mburalala mkazi wa Nzasa alisema juzi usiku saa 5.30 usiku ulisikika mlio unaofanana na bomu uliokuwa ukijirudiarudia.
“Wakazi wa mtaa wetu wote walitoka nje na familia
zao wakidhani kwamba ni mabomu. Tuliingia ndani saa 9.00 usiku baada ya
kupata taarifa kwamba ni lori limelipuka moto,” alisema.
Alisema wakazi wengi walikaa nje ya nyumba zao usiku kutokana na mlipuko huo wakidhani kuwa ni mabomu.
Kamanda Wankyo alisema mlipuko huo umesababishwa na watu waliokuwa wakiiba mafuta.
“Wezi waliiba mafuta na kwenda kuficha kwenye
nyumba za jirani na ulipotokea mlipuko huo moto ukafuata mafuta yalipo
na kuleta madhara,” alisema.
Wankyo alisema polisi haijafahamu thamani ya mali
zote zilizoteketea kwa moto na kwamba linafanya tathmini kwa
kushirikiana na wamiliki.
on
SAVING MONEY TECHNIQUES ...
Saving money is one of those tasks that's so much easier said than done — everyone knows it's smart to save money in the long run, but many of us still have difficulty doing it. There's more to saving than simply spending less money, although this alone can be challenging. Smart money-savers also need to consider how to spend the money they do have as well as how to maximize their income. Start with Step 1 below to learn how to set realistic goals, keep your spending in check, and get the greatest long-term benefit for your money.
visit >>>>
http://www.wikihow.com/Save-Money
on Monday, September 22, 2014
PAPA AMRUHUSU PADRI TOKA TZ KUOA.
Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani, Papa
Francis amekubali kumuondolea sakramenti ya upadri, Raymond Mosha wa
Jimbo Katoliki la Moshi ikiwa ni miaka 20 tangu padri huyo aombe
kuachana na daraja hilo.
Barua ya uamuzi wa Papa Francis ilisomwa juzi
katika parokia na vigango vyote vya Kanisa Katoliki Jimbo la Moshi
katika ibada zilizofanyika katika makanisa ya jimbo hilo.
Miongoni mwa parokia ambazo barua hiyo ilisomwa ni
Karanga ambako Paroko wake, John Matumaini alitoa tangazo hilo katika
ibada zote. Uamuzi huo ambao ni nadra kutolewa na Papa, unamaanisha kuwa
sasa padri huyo yuko huru kuoa na kuwa na familia.
Hata hivyo, wakati uamuzi huo ukitangazwa rasmi
juzi, tayari Padri Mosha ambaye ni profesa wa falsafa na maadili katika
Chuo Kikuu cha Nelson Mandela Arusha, ana mke na watoto watatu ambao kwa
sasa wako vyuo vikuu.
Padri Mosha alisema aliandika barua kuomba kuondolewa daraja hilo mwaka 1994 kabla ya uamuzi kutolewa juzi.
Katika orodha ya mapadre 185 wa Kanisa Katoliki
Jimbo la Moshi iliyopo katika tovuti ya jimbo hilo, jina la Padri Mosha
linaonekana likiwa ni namba 23.
Akizungumzia hatua hiyo, Padri Mosha alisema:
“Ninafurahi kufunguliwa kifugo hiki na hii itanifanya niishi kama
Mkristo. Kwa vile hawajaniondolea sifa ya kutoa huduma kama vile ibada
za mazishi, sakramenti ya mwisho na ubatizo, nitaendelea kutoa kwa
wahitaji kwa sababu ninaupenda ukristo.
“Nashukuru sasa nimekuwa muumini wa kawaida
nitaweza kufunga ndoa kanisani kwa kuwa nilikuwa nimefunga ndoa ya
kisheria tu kwa DC.”
Kuhusu kwa nini aliamua kuacha upadri, Profesa
Mosha alisema ni baada ya kufanya kazi hiyo kwa miaka 20 na akaona ipo
haja ya kuwa na familia lakini kanisa lilikuwa haliruhusu.
“Sasa kwa kuwa kanisa haliruhusu mapadri kuoa
ndiyo maana nikaamua kuandika barua ambayo hata hivyo, imechukua muda
mrefu kujibiwa na tayari nina watoto watatu wako chuo kikuu.
on