Social Icons

Loading...

JK agusia ujana urais 2015

Wakati mbio za kuwania urais katika Uchaguzi Mkuu 2015 zikianza kushika kasi nchini, Rais Jakaya Kikwete amewataka vijana kumchagua mtu anayefanana na kijana kurithi nafasi yake.
Kauli hiyo ya Rais Kikwete imekuja huku kukiwa na makada kadhaa ndani ya chama chake ambao wametangaza nia ya kuwania nafasi hiyo huku baadhi wakifungiwa kwa kuanza kampeni mapema na wengine wakiendelea na mikakati ya chinichini kabla ya kujitangaza.
Rais Kikwete alisema hayo jana mjini Tabora alipokuwa akihutubia wananchi waliohudhuria kumbukumbu ya Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere zilizokwenda sambamba na kilele cha Wiki ya Vijana na hitimisho la Mbio za Mwenge wa Uhuru.
chanzo : gazeti  la    mwananchi
author

This post was written by: Author Name

Your description comes here!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

CodeNirvana
© Copyright Daniel Blog in Contemporary News
Back To Top