Social Icons

Loading...

JIPATIE KING'AMUZI CHA DIGITEK

 Ofisi   za  mauzo     ya    DECODER   za   DIGITEK    eneo  la   Makumbusho  Dar.
 Blogger  akikabidhiwa   King'amuzi  chake   cha  DIGITEK    na   Mr    Jamada.
 Vijana  wa  kazi   katika  ofisi  ya  mauzo  Mr  Fidelis    na  Mr  Jamada   wakienda  sawa  kuwahudumia  vizuri    wateja  wanaofika  katika  ofisi  hizo.
 Kwa  nje  hii  ni  sehemu  pia  ya  huduma  kwa  wateja   na mauzo.
 Mr  Jamada  na  Mr  Carlos     Maofisa  katika  ofisi  za  Mauzo  Digitek.
author

This post was written by: Author Name

Your description comes here!

Get Free Email Updates to your Inbox!

2 comments

Yani Tanzania tumezidi, hamna information mtandaoni kabisa. Niko njia panda kati ya Zuku na Digitek. Zuku nasikia channel nyingi wakati Digi ni 15 tu, lakini kingamuzi cha Digi kina function nyingi. Najaribu kuona channel zenyewe available kwenye hivi vingamuzi, hamna jibu. Kweli they are that stingy hata ku hire a graduate kuwa andikia kwenye website vipindi vya channel? bora hata Zuku, their Kenyan website is detailed. Digitek's website is dismissal at best. Disappointed.

Reply

Nachukia mimi km wewe unavyochukia

Reply

Post a Comment

CodeNirvana
© Copyright Daniel Blog in Contemporary News
Back To Top