Social Icons

Loading...

Picha za baadhi ya maofisa wa ofisi za Bunge Dar es Salaam.

 Kutoka   kulia  ni  Kaimu Mkurugenzi  Msaidizi  Elimu  kwa umma  Ms Neema Kiula, Mr Jimroger  Ismail, Ms Sophia Vumbi,  Mr Joshua  Chamwela,  Ms  Zainab  Kihange   na Mr. Mathew Kileo.
Ndugu  Mathew  Kileo    akiwa   tayari  kuelezea shughuli  zifanywazo  na  Bunge .

Ms  Zainab Kihange  katika  idara    ihusuyo  kamati  za BUNGE .

Ofisa  Kaimu  Mkurugenzi  Msaidizi  Elimu kwa  umma   Ms  Neema  Kiula.

Ofisa   Joshua   Chamwela   mbele  ya  mabango   yaonyeshayo kwa  shughuli na  taarifa  mbalimbali  za  Bunge.

Duu  Kiti  cha  Spika  wa Bunge  ni kitamu, Ms Sophia Vumbi akiwa amekaa kwa  pozi   kwenye kiti hicho.

author

This post was written by: Author Name

Your description comes here!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

CodeNirvana
© Copyright Daniel Blog in Contemporary News
Back To Top