Kutoka kulia ni Kaimu Mkurugenzi Msaidizi Elimu kwa umma Ms Neema Kiula, Mr Jimroger Ismail, Ms Sophia Vumbi, Mr Joshua Chamwela, Ms Zainab Kihange na Mr. Mathew Kileo.
| Ndugu Mathew Kileo akiwa tayari kuelezea shughuli zifanywazo na Bunge . |
| Ms Zainab Kihange katika idara ihusuyo kamati za BUNGE . |
| Ofisa Kaimu Mkurugenzi Msaidizi Elimu kwa umma Ms Neema Kiula. |
| Ofisa Joshua Chamwela mbele ya mabango yaonyeshayo kwa shughuli na taarifa mbalimbali za Bunge. |
| Duu Kiti cha Spika wa Bunge ni kitamu, Ms Sophia Vumbi akiwa amekaa kwa pozi kwenye kiti hicho. |




Post a Comment