Social Icons

Loading...

MUHAS katika maonesho ya 36 ya Biashara Dar 2012

Chuo  kikuu  cha  Sayansi   na  Tiba  MUHAS  wanashiriki  katika  maonesho  ya   36  ya  biashara   ya  kimataifa    yanayoendelea  katika viwanja  vya  sabasaba , yako  mambo  mengi  ya  kujifunza   katika  banda  lao ikiwa  ni  pamoja  na  kuona shughuli   wazifanyazo na  mipango yao ya  baadaye. Banda  lao  linatazamana  na banda  la   Ardhi  University.

Mchoro  wa    kampasi  mpya  ya MUHAS   eneo  la  KIBAMBA, Dar  es  Salaam.
  

Mr Ulimbaga  Kajobile   Principal  Planning Officer  wa  MUHAS  akitoa  maelezo ya mradi  wa  ujenzi wa kampasi mpya  , ujenzi  unaotarajiwa kuanza   eneo  la  Kibamba  nje  kidogo  ya  jiji  la  Dar es  Salaam.

Pichani  kutoka  kushoto  ni  Prof  David  Ngassapa   former   DVC - ARC    na  mkewe  Prof  Olipa  Ngassapa  akiwa   na  mkuu  wa mipango   wa  MUHAS  ndugu  Ulimbaga Kajobile   pamoja   kundi  la  wahadhiri  wasaidizi   toka  chuo  hicho.

author

This post was written by: Author Name

Your description comes here!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

CodeNirvana
© Copyright Daniel Blog in Contemporary News
Back To Top