Social Icons

Loading...

Dar Mgomo wa Mabasi waingia siku ya 2 na Sasa Waisha..

Hatimaye madereva wa mabasi na malori wameamua kusitisha mgomo leo baada ya Serikali kuwahakikishia kuwa inaandaa utaratibu mzuri wa kujibu na kushughulikia matatizo yao.
Mgomo huo ulioanza jana umesababisha usumbufu mkubwa kwa raia sehemu nyingi nchini Tanzania ambao walikuwa wamejiandaa kusafiri kuelekea katika mikoa mingine jana na leo kwa ajili ya shughuli zao mbalimbali zikiwemo za kibiashara na kijamii.
Taarifa zilizotufikia ni kwamba Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Paul Makonda akiwa na viongozi wengine wa Serikali walifika katika kituo cha mabasi yaendao mikoani cha ubungo na kuzungumza na madereva hao wakiwataka wasitishe mgomo wao na kuanza kazi kwani mambo yao Serikali inayafanyia kazi na hivi karibuni watajibiwa.
Kufuatia hali hiyo maderva hao walikubaliana na ombi hilo la Serikali baada ya kutokea kwa Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo Freeman Mbowe ambaye naye aliwasihi waache mgomo huo kwani Serikali itafanyia kazi maombi yao.



Habari zilizotufikia hivi punde kutoka Kituo cha Masi Ubungo, Dar es Salaam, ni kwamba mabasi ya abiria yameanza kuondoka chini ya ulinzi mkali wa polisi kueleka mikoni. Mabasi hayo yalishindwa kuondoka jana hadi leo asubuhi baada ya madereva wa mabasi hayo kuoma wakiitaka Serikali iingilie kati mgogoro wao na wamiliki wa mabasi kuhusu mikataba yao ya ajira. Mabasi ya Shabiby yametoka kwa escort ya police, lakini taarifa na habari zinazoendelea ni kuwa abiria nao wanapanga ikifika saa 6 mchana wanazuia magari yote yanayopita barabara ya morogoro hususani ya serikali. Update hii inakujua toka hapa Ubungo: Kuna gari hapa min bus imejaa askali kanzu ambao wengine wamevaa mabomu wakishuka na wanatoa upepo wa tyres za magari. Tayari Waziri Mkuu Kivuli, Mbowe tayari ameshafika Ubungo na kuangalia nini kifanyike, kutokana na Waziri mkuu husika kukataa. Pia Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paulo Makonda ameshafika katika kituo hicho, wako pamoja na Mbowe. Askari wakiimarisha ulinzi katika Kituo cha Mabasi Ubungo Basi la Shabiby likijiandaa kuondoka Ubungo asubuhi Baadhi ya abiria waliokwama Ubungo Nauli za leo ni balaa: 1. Ubungo - Buguruni (Noah 1000, Bajaj 1000, Canter 500) 2. Ubungo - Mbagala (Noah 3000, Canter 2000, Bajaj 2000) 3. Ubungo- Kariakoo (Canter 3000, Noah 4000, Boda Boda 10,000 usiulize jioni kurud ubungo ni shilingj ngapi) 4. Kutoka Gongo la Mboto hadi Kariakoo Kilikuu sh. 4000 Serikali inatakiwa kufanya ufumbuzi wa haraka kuhusu mgomo huu wa madereva wa mabasi ili wananchi wasiendelee kupata adha na mateso. Posted by Richard Mwaikenda at Tuesday, May 05, 2015 0 comments Email ThisBlogThis!Share to TwitterShare to FacebookShare to Pinterest ELIMU ZAIDI YATAKIWA KUBADILI JAMII KUTHAMINI MAALBINO DSC_0016Meneja wa Kituo cha Habari na Mawasiliano cha Redio Sengerema mkoani Mwanza Bw. Felician Ncheye akiwakaribisha mameneja wa Redio za jamii nchini (hawapo pichani) walioshiriki kwenye mafunzo ya siku moja ya kutoa elimu kwa Redio za jamii nchini juu ya kuandaa vipindi vyenye ujumbe sahihi wa masuala yanayohusu watu wenye Albinism iliofanyika katika kituo cha Redio Jamii Sengerema hivi karibuni. Katikati ni Afisa mtetezi na ushawishi kutoka shirika linaloshughulika na watu wenye Albinism la Under The Same Sun (UTSS), Kondo Seif na kulia ni Ofisa Miradi ya Mawasiliano, Habari na Tehama wa Shirika la Kimataifa la Sayansi, Elimu na Utamaduni (UNESCO) nchini, Al Amin Yusuph. Na modewjiblog team, Sengerema Ofisa mtetezi na ushawishi kutoka shirika linaloshughulika na watu wenye Albinism la Under The Same Sun (UTSS) Kondo Seif, ameitaka jamii kuungana kupiga vita imani potofu zinazosababisha mauaji kwa watu wenye albinism. Alisema jamii ikiamka na kuamua kumaliza tatizo hilo, mauaji hayo yatakoma. Kauli hiyo aliitoa katika semina ya siku moja ya elimu kwa Redio za jamii nchini juu ya kuandaa vipindi vyenye ujumbe sahihi ya masuala yanayohusu watu wenye Albinism iliofanyika katika kituo cha Redio Jamii Sengerema mkoani Mwanza hivi karibuni. Kondo alisema katika jamii kumekuwa na imani potofu ambapo Albinism wamekuwa wakiitwa majina yanayolenga kunyanyapaliwa na kusababisha kushamiri kwa vitendo vya ukatili na mauaji dhidi yao. Aliitaka jamii kutambua kuwa albinism ni hali ya ukosefu wa rangi asilia mwilini inayoathiri ngozi, macho na nywele na ni nadra hali hiyo kupatikana na haiambukizi kama watu wengine wanavyodhani. Aidha ametaja jina sahihi la Kiswahili lililokubaliwa na baraza la Kiswahili Tanzania kuitwa watu wenye albinism kuwa ni watu wenye ualbino. Alisema watu wenye ualbino wamekuwa wakikabiliwa na changamoto za kukosekana kwa taarifa sahihi zinawagusa wao kama ngozi kushindwa kuhimili jua, uoni hafifu na kupungua kwa usalama. Kwa mujibu wa Takwimu za shirika hilo watu wenye Albinism zaidi ya albino 70 nchini Tanzania wameuawa, zaidi ya 30 wamekatwa viungo vyao na makaburi ya watu wenye Albinism 20 yamefukuliwa. Ameviomba vyombo vya habari kushiriki kikamilifu kutoa elimu sahihi kwa jamii ili kustawisha maisha ya watu wenye Albinisms kuwa kufanya hivyo maendeleo yao, jamii na taifa kwa ujumla yataimarika. Awali akizungumza na washiriki wa semina hiyo Ofisa Miradi ya Mawasiliano, Habari na Tehama wa Shirika la Kimataifa la Sayansi, Elimu na Utamaduni (UNESCO) nchini, Al Amin Yusuph aliwataka waandishi wa habari kuzingatia matumizi sahihi ya lugha wanapoandika habari na kuandaa vipindi vinavyozungumzia masuala ya Albinism. Pia amesisitiza kuandaa vipindi vinavyobeba ujumbe sahihi wa kuelimisha jamii juu ya masuala yanayohusu Albinism ili kubadilisha mitazamo ya jamii ili kuwathamini, kuwalinda, kuwaheshimu na kuwashirikisha katika maendeleo. Sambamba na hilo amevitaka pia kubeba jukumu kubwa la kuhamasisha wananchi kushiriki kikamilifu zoezi la uandikishaji katika daftari la kudumu la mpiga kura na kutoishia kujiandikisha tu bali wajitokeze kupiga kura kuwachagua viongozi ambao ni Madiwani, Wabunge na Raisi October 2015 pamoja na kuipigia kura katiba inayopendekezwa wakati ukifika. Ameongeza katika matukio hayo muhimu ya kitaifa watu wenye Albinism wahamasishwe kushiriki kikamilifu vile vile na makundi mengine kama wanawake, vijana, watu wenye ulemavu, wazee na makundi mengine maalum. Read more » Posted by Richard Mwaikenda at Tuesday, May 05, 2015 0 comments Email ThisBlogThis!Share to TwitterShare to FacebookShare to Pinterest MVUA YASABABISHA MAFURIKO MOSHI VIJIJINI,MBUNGE LUCY OWENYA AWAFARJI WAATHIRIKA. Mafuriko makubwa yamevikumba vijiji saba kikiwemo kiwanda cha sukari cha TPC na kuathiri miundombinu pamoja na makazi ya watu kujaa maji. Mbunge wa viti maalumu ,Lucy Owenya (Chadema) (kulia)akiwa ameongozana na diwani wa kata ya Arusha Chini ,Rojas Mmari alipotembelea kujionea athari zilizotokana na mafuriko hayo. Mbunge Lucy Owenya akitembelea maeneo yaliyo athirika na mafuriko hayo. Mbunge Lucy Owenya akitizama sehemu ambayo wananchi walilazimika kuibomoa kwa kushirikiana na uongozi wa kiwanda cha TPC ili kuruhusu maji kupita. Eneo lililobomolewa ili kuruhusu maji ya mafuriko kupita. Baadhi ya nyumba zilijaa maji hali iliyowalazimu wahusika kutoa itu vya ndani nje. Wengine walilazimika kuweka vyakula juu ya mabanda ya kuku. Baada ya maji kujaa wengine walilazimika kuhamishia magodoro yao juu ya paa la Choo. Hata vyakula ambavyo vingi vyao vililowa na maji vilianikwa juu ya paa. Mbunge Lucy Owenya akitizama namna ambavyo baadhi ya wananchi walivyoamua kuokoa vitu ya kwa kuianika juu ya paa. Mifugo pia liathirika na mafuriko hayo. Kutokana na hali hiyo Mbunge Lucy Owenya alilazimika kutoa msaada wa chakula kwa waathirika wa mafuriko hayo Mbunge Lucy Owenya akimfariji mmoja ya waathirika wa mafuriko hayo aliyekuwa akilia kwa uchungu baada ya kupoteza vitu vyake mbali,mbali ikiwemo vyeti vya taaluma ya utabibu. Mbunge Lucy Owenya akikabidhi msaada wa chakula kwa wananchi walioathirika na mafuriko hayo. Mbunge Lucy Owenya akizungumza mara baada ya kukabidhi msaada huo. Diwani wa kata ya Arusha Chini Rojas Mmari akizungumza jambo mara baada ya wananchi wake kukabidhiwa msaada huo. Afisa mtendaji Utawala wa kiwanda cha sukari cha TPC ,Jafary Ally akizungumza kuhusu namna mafuriko hayo yalivyo athiri kiwanda hicho.Na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii Kanda ya Kaskazini Posted by Richard Mwaikenda at Tuesday, May 05, 2015 0 comments Email ThisBlogThis!Share to TwitterShare to FacebookShare to Pinterest PITIA VICHWA VYA HABARI KATIKA MAGAZETI YA LEO mag1 mag2 mag3 mag4 mag5 mag6 mag7 mag8 mag9 mag10 mag11 mag12 mag13 mag14 mag15 mag16 Posted by Richard Mwaikenda at Tuesday, May 05, 2015 0 comments Email ThisBlogThis!Share to TwitterShare to FacebookShare to Pinterest Older Posts Home Wanaotembelea Blogu hii Sparkline 2657622 MATOKEO YA KIDATO CHA NNE MATOKEO YA KIDATO CHA NNE BOFYA HAPA KUTAZAMA MATOKEO YA KIDATO CHA PILI MATOKEO YA KIDATO CHA PILI BOFYA HAPA KUTAZAMA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE HAYA HAPA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2013 HAYA HAPA Tanzania National Flag Tanzania National Flag Time Dar es Salaam The Digital Company The Digital Company Mtayarishaji: Mtayarishaji: Richard Mwaikenda BONGO HITS Find more music like this on GongaMx Blog Archive

Copy and WIN : http://ow.ly/KNICZ

Habari zilizotufikia hivi punde kutoka Kituo cha Masi Ubungo, Dar es Salaam, ni kwamba mabasi ya abiria yameanza kuondoka chini ya ulinzi mkali wa polisi kueleka mikoni. Mabasi hayo yalishindwa kuondoka jana hadi leo asubuhi baada ya madereva wa mabasi hayo kuoma wakiitaka Serikali iingilie kati mgogoro wao na wamiliki wa mabasi kuhusu mikataba yao ya ajira. Mabasi ya Shabiby yametoka kwa escort ya police, lakini taarifa na habari zinazoendelea ni kuwa abiria nao wanapanga ikifika saa 6 mchana wanazuia magari yote yanayopita barabara ya morogoro hususani ya serikali. Update hii inakujua toka hapa Ubungo: Kuna gari hapa min bus imejaa askali kanzu ambao wengine wamevaa mabomu wakishuka na wanatoa upepo wa tyres za magari. Tayari Waziri Mkuu Kivuli, Mbowe tayari ameshafika Ubungo na kuangalia nini kifanyike, kutokana na Waziri mkuu husika kukataa. Pia Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paulo Makonda ameshafika katika kituo hicho, wako pamoja na Mbowe. Askari wakiimarisha ulinzi katika Kituo cha Mabasi Ubungo Basi la Shabiby likijiandaa kuondoka Ubungo asubuhi Baadhi ya abiria waliokwama Ubungo Nauli za leo ni balaa: 1. Ubungo - Buguruni (Noah 1000, Bajaj 1000, Canter 500) 2. Ubungo - Mbagala (Noah 3000, Canter 2000, Bajaj 2000) 3. Ubungo- Kariakoo (Canter 3000, Noah 4000, Boda Boda 10,000 usiulize jioni kurud ubungo ni shilingj ngapi) 4. Kutoka Gongo la Mboto hadi Kariakoo Kilikuu sh. 4000 Serikali inatakiwa kufanya ufumbuzi wa haraka kuhusu mgomo huu wa madereva wa mabasi ili wananchi wasiendelee kupata adha na mateso. Posted by Richard Mwaikenda at Tuesday, May 05, 2015 0 comments Email ThisBlogThis!Share to TwitterShare to FacebookShare to Pinterest ELIMU ZAIDI YATAKIWA KUBADILI JAMII KUTHAMINI MAALBINO DSC_0016Meneja wa Kituo cha Habari na Mawasiliano cha Redio Sengerema mkoani Mwanza Bw. Felician Ncheye akiwakaribisha mameneja wa Redio za jamii nchini (hawapo pichani) walioshiriki kwenye mafunzo ya siku moja ya kutoa elimu kwa Redio za jamii nchini juu ya kuandaa vipindi vyenye ujumbe sahihi wa masuala yanayohusu watu wenye Albinism iliofanyika katika kituo cha Redio Jamii Sengerema hivi karibuni. Katikati ni Afisa mtetezi na ushawishi kutoka shirika linaloshughulika na watu wenye Albinism la Under The Same Sun (UTSS), Kondo Seif na kulia ni Ofisa Miradi ya Mawasiliano, Habari na Tehama wa Shirika la Kimataifa la Sayansi, Elimu na Utamaduni (UNESCO) nchini, Al Amin Yusuph. Na modewjiblog team, Sengerema Ofisa mtetezi na ushawishi kutoka shirika linaloshughulika na watu wenye Albinism la Under The Same Sun (UTSS) Kondo Seif, ameitaka jamii kuungana kupiga vita imani potofu zinazosababisha mauaji kwa watu wenye albinism. Alisema jamii ikiamka na kuamua kumaliza tatizo hilo, mauaji hayo yatakoma. Kauli hiyo aliitoa katika semina ya siku moja ya elimu kwa Redio za jamii nchini juu ya kuandaa vipindi vyenye ujumbe sahihi ya masuala yanayohusu watu wenye Albinism iliofanyika katika kituo cha Redio Jamii Sengerema mkoani Mwanza hivi karibuni. Kondo alisema katika jamii kumekuwa na imani potofu ambapo Albinism wamekuwa wakiitwa majina yanayolenga kunyanyapaliwa na kusababisha kushamiri kwa vitendo vya ukatili na mauaji dhidi yao. Aliitaka jamii kutambua kuwa albinism ni hali ya ukosefu wa rangi asilia mwilini inayoathiri ngozi, macho na nywele na ni nadra hali hiyo kupatikana na haiambukizi kama watu wengine wanavyodhani. Aidha ametaja jina sahihi la Kiswahili lililokubaliwa na baraza la Kiswahili Tanzania kuitwa watu wenye albinism kuwa ni watu wenye ualbino. Alisema watu wenye ualbino wamekuwa wakikabiliwa na changamoto za kukosekana kwa taarifa sahihi zinawagusa wao kama ngozi kushindwa kuhimili jua, uoni hafifu na kupungua kwa usalama. Kwa mujibu wa Takwimu za shirika hilo watu wenye Albinism zaidi ya albino 70 nchini Tanzania wameuawa, zaidi ya 30 wamekatwa viungo vyao na makaburi ya watu wenye Albinism 20 yamefukuliwa. Ameviomba vyombo vya habari kushiriki kikamilifu kutoa elimu sahihi kwa jamii ili kustawisha maisha ya watu wenye Albinisms kuwa kufanya hivyo maendeleo yao, jamii na taifa kwa ujumla yataimarika. Awali akizungumza na washiriki wa semina hiyo Ofisa Miradi ya Mawasiliano, Habari na Tehama wa Shirika la Kimataifa la Sayansi, Elimu na Utamaduni (UNESCO) nchini, Al Amin Yusuph aliwataka waandishi wa habari kuzingatia matumizi sahihi ya lugha wanapoandika habari na kuandaa vipindi vinavyozungumzia masuala ya Albinism. Pia amesisitiza kuandaa vipindi vinavyobeba ujumbe sahihi wa kuelimisha jamii juu ya masuala yanayohusu Albinism ili kubadilisha mitazamo ya jamii ili kuwathamini, kuwalinda, kuwaheshimu na kuwashirikisha katika maendeleo. Sambamba na hilo amevitaka pia kubeba jukumu kubwa la kuhamasisha wananchi kushiriki kikamilifu zoezi la uandikishaji katika daftari la kudumu la mpiga kura na kutoishia kujiandikisha tu bali wajitokeze kupiga kura kuwachagua viongozi ambao ni Madiwani, Wabunge na Raisi October 2015 pamoja na kuipigia kura katiba inayopendekezwa wakati ukifika. Ameongeza katika matukio hayo muhimu ya kitaifa watu wenye Albinism wahamasishwe kushiriki kikamilifu vile vile na makundi mengine kama wanawake, vijana, watu wenye ulemavu, wazee na makundi mengine maalum. Read more » Posted by Richard Mwaikenda at Tuesday, May 05, 2015 0 comments Email ThisBlogThis!Share to TwitterShare to FacebookShare to Pinterest MVUA YASABABISHA MAFURIKO MOSHI VIJIJINI,MBUNGE LUCY OWENYA AWAFARJI WAATHIRIKA. Mafuriko makubwa yamevikumba vijiji saba kikiwemo kiwanda cha sukari cha TPC na kuathiri miundombinu pamoja na makazi ya watu kujaa maji. Mbunge wa viti maalumu ,Lucy Owenya (Chadema) (kulia)akiwa ameongozana na diwani wa kata ya Arusha Chini ,Rojas Mmari alipotembelea kujionea athari zilizotokana na mafuriko hayo. Mbunge Lucy Owenya akitembelea maeneo yaliyo athirika na mafuriko hayo. Mbunge Lucy Owenya akitizama sehemu ambayo wananchi walilazimika kuibomoa kwa kushirikiana na uongozi wa kiwanda cha TPC ili kuruhusu maji kupita. Eneo lililobomolewa ili kuruhusu maji ya mafuriko kupita. Baadhi ya nyumba zilijaa maji hali iliyowalazimu wahusika kutoa itu vya ndani nje. Wengine walilazimika kuweka vyakula juu ya mabanda ya kuku. Baada ya maji kujaa wengine walilazimika kuhamishia magodoro yao juu ya paa la Choo. Hata vyakula ambavyo vingi vyao vililowa na maji vilianikwa juu ya paa. Mbunge Lucy Owenya akitizama namna ambavyo baadhi ya wananchi walivyoamua kuokoa vitu ya kwa kuianika juu ya paa. Mifugo pia liathirika na mafuriko hayo. Kutokana na hali hiyo Mbunge Lucy Owenya alilazimika kutoa msaada wa chakula kwa waathirika wa mafuriko hayo Mbunge Lucy Owenya akimfariji mmoja ya waathirika wa mafuriko hayo aliyekuwa akilia kwa uchungu baada ya kupoteza vitu vyake mbali,mbali ikiwemo vyeti vya taaluma ya utabibu. Mbunge Lucy Owenya akikabidhi msaada wa chakula kwa wananchi walioathirika na mafuriko hayo. Mbunge Lucy Owenya akizungumza mara baada ya kukabidhi msaada huo. Diwani wa kata ya Arusha Chini Rojas Mmari akizungumza jambo mara baada ya wananchi wake kukabidhiwa msaada huo. Afisa mtendaji Utawala wa kiwanda cha sukari cha TPC ,Jafary Ally akizungumza kuhusu namna mafuriko hayo yalivyo athiri kiwanda hicho.Na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii Kanda ya Kaskazini Posted by Richard Mwaikenda at Tuesday, May 05, 2015 0 comments Email ThisBlogThis!Share to TwitterShare to FacebookShare to Pinterest PITIA VICHWA VYA HABARI KATIKA MAGAZETI YA LEO mag1 mag2 mag3 mag4 mag5 mag6 mag7 mag8 mag9 mag10 mag11 mag12 mag13 mag14 mag15 mag16 Posted by Richard Mwaikenda at Tuesday, May 05, 2015 0 comments Email ThisBlogThis!Share to TwitterShare to FacebookShare to Pinterest Older Posts Home Wanaotembelea Blogu hii Sparkline 2657622 MATOKEO YA KIDATO CHA NNE MATOKEO YA KIDATO CHA NNE BOFYA HAPA KUTAZAMA MATOKEO YA KIDATO CHA PILI MATOKEO YA KIDATO CHA PILI BOFYA HAPA KUTAZAMA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE HAYA HAPA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2013 HAYA HAPA Tanzania National Flag Tanzania National Flag Time Dar es Salaam The Digital Company The Digital Company Mtayarishaji: Mtayarishaji: Richard Mwaikenda BONGO HITS Find more music like this on GongaMx Blog Archive

Copy and WIN : http://ow.ly/KNICZ
Habari zilizotufikia hivi punde kutoka Kituo cha Masi Ubungo, Dar es Salaam, ni kwamba mabasi ya abiria yameanza kuondoka chini ya ulinzi mkali wa polisi kueleka mikoni. Mabasi hayo yalishindwa kuondoka jana hadi leo asubuhi baada ya madereva wa mabasi hayo kuoma wakiitaka Serikali iingilie kati mgogoro wao na wamiliki wa mabasi kuhusu mikataba yao ya ajira. Mabasi ya Shabiby yametoka kwa escort ya police, lakini taarifa na habari zinazoendelea ni kuwa abiria nao wanapanga ikifika saa 6 mchana wanazuia magari yote yanayopita barabara ya morogoro hususani ya serikali. Update hii inakujua toka hapa Ubungo: Kuna gari hapa min bus imejaa askali kanzu ambao wengine wamevaa mabomu wakishuka na wanatoa upepo wa tyres za magari. Tayari Waziri Mkuu Kivuli, Mbowe tayari ameshafika Ubungo na kuangalia nini kifanyike, kutokana na Waziri mkuu husika kukataa. Pia Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paulo Makonda ameshafika katika kituo hicho, wako pamoja na Mbowe.

Copy and WIN : http://ow.ly/KNICZ
Habari zilizotufikia hivi punde kutoka Kituo cha Masi Ubungo, Dar es Salaam, ni kwamba mabasi ya abiria yameanza kuondoka chini ya ulinzi mkali wa polisi kueleka mikoni. Mabasi hayo yalishindwa kuondoka jana hadi leo asubuhi baada ya madereva wa mabasi hayo kuoma wakiitaka Serikali iingilie kati mgogoro wao na wamiliki wa mabasi kuhusu mikataba yao ya ajira. Mabasi ya Shabiby yametoka kwa escort ya police, lakini taarifa na habari zinazoendelea ni kuwa abiria nao wanapanga ikifika saa 6 mchana wanazuia magari yote yanayopita barabara ya morogoro hususani ya serikali. Update hii inakujua toka hapa Ubungo: Kuna gari hapa min bus imejaa askali kanzu ambao wengine wamevaa mabomu wakishuka na wanatoa upepo wa tyres za magari. Tayari Waziri Mkuu Kivuli, Mbowe tayari ameshafika Ubungo na kuangalia nini kifanyike, kutokana na Waziri mkuu husika kukataa. Pia Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paulo Makonda ameshafika katika kituo hicho, wako pamoja na Mbowe.

Copy and WIN : http://ow.ly/KNICZ
author

This post was written by: Author Name

Your description comes here!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

CodeNirvana
© Copyright Daniel Blog in Contemporary News
Back To Top