Social Icons

Loading...

JINA JIPYA LA HUU UWANJA WA NDEGE MWANZA UKIKAMILIKA UKARABATI.

 Baada ya mapendekezo ya  kubadili  jina ,  serikali  ya Tanzania imeridhia kubadilishwa kwa jina la uwanja wa ndege wa Mwanza na sasa utaitwa uwanja wa kimataifa wa Serengeti au Serengeti international airport.
Kwa sasa utafanyika ukarabati mkubwa wenye mipango mingi ikiwemo kukuza utalii kwenye mikoa ya Kanda ya Ziwa , hiyo yote itafanikiwa kwa sababu uwanja ukikamilika itakuwa rahisi watalii kufika katika mbuga ya wanyama ya Serengeti wakitokea Mwanza.






author

This post was written by: Author Name

Your description comes here!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

CodeNirvana
© Copyright Daniel Blog in Contemporary News
Back To Top