Social Icons

Loading...

Askofu Emanuel Lazaro wa TAG afungua kongamano la udhihirisho - Living Water Centre -KAWE




 Bishop Emmanuel Lazaro aliyekuwa Askofu Mkuu wa Tanzania Assemblies Of God kwa zaidi ya Miaka 26 amefungua Kongamano la Udhihirisho siku ya Jana Katika Kanisa la Living Water Centre  (LWC)  almaarufu kama "Makuti Kawe".

Semina hiyo iliyoanza siku ya Jana Mpaka Jumapili itakuwa na Wanenaji kutoka Ndani na Nje ya nchi ya Tanzania chini ya Mchungaji Mwenyeji wa Mahali hapo, Apostle Onesmo Ndegi na Apostle Lilian Ndegi.

Watu Wote Mnakaribishwa katika Semina hiyo inayoendelea leo kuanzia Saa 3 Asubuhi Mpaka jioni kila siku Mpaka siku ya Jumapili  tarehe 01 July 2012, Njoo uone Udhihirisho wa Nguvu za Mungu Kupitia neno lake.



author

This post was written by: Author Name

Your description comes here!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

CodeNirvana
© Copyright Daniel Blog in Contemporary News
Back To Top