Loading...
Home » Archives for June 2012
Breaking Newsssss!!!!Vurugu Kubwa zatokea Tegeta
Kumekuwa
na hali ya taharuki katika eneo la Tegeta, Namanga karibu na kituo cha
Mafuta cha Big Bon jijini Dar es salaam baada ya wananchi wenye hasira
kuanza kurushiana mawe na Mapanga na watu waliotumwa kubomoa Vibanda
vilivyo katika eneo hilo.Katika tukio hilo watu Wawili wamejeruhiwa vibaya na wamekimbizwa katika Hospitali ya Mwananyamala kwa ajili ya matibabu zaidi.Kwa
mujibu wa Kamanda KENYELA kikundi cha watu kilifika katika eneo hilo na
kuanza kubomoa Vibanda vilivyo katika eneo hilo la Namanga hali
iliyowashtua wananchi wa eneo hilo na kisha kuanza kurushiana Nawe na
Mapanga na kikundi hicho cha watu.Hata
hivyo watu Wawili wanashikiliwa na Jeshi la Polisi Mkoa huo wa
Kinondoni kwa mahojiano zaidi kama wana uhalalali wa kubomoa Vibanda
hivyo na wametumwa na nani.
on
Dr: Fenela apata ajali ya gari akielekea Mwanza
Dr: Fenella Mukangara |
Chanzo: Uhuru FM.
on
Super Mario reduced Germany’s reputation to ashes with a sensational double…
The Manchester City forward Mario Baloteli scored with a 20th minute header and powered in
his second 16 minutes later from 20 yards to set up a final showdown with Spain
in Kiev on Sunday.
This was the best we have ever seen of Balotelli — and the Germans could not handle him.
Where Italy had failed to take their chances in the quarter-final win against England they were on target this time.They had a late scare when midfielder Mesut Ozil netted a penalty in added time but it was too late for a dramatic comeback.Many had expected a German victory but history was on Italy’s side.
The First Goal....
The Second Goal.... Fantastic...
Ozil Penalt.....
This was the best we have ever seen of Balotelli — and the Germans could not handle him.
Where Italy had failed to take their chances in the quarter-final win against England they were on target this time.They had a late scare when midfielder Mesut Ozil netted a penalty in added time but it was too late for a dramatic comeback.Many had expected a German victory but history was on Italy’s side.
The First Goal....
on Thursday, June 28, 2012
Waziri Mkuu asitisha kutoa tamko juu ya mgomo wa Madaktari
Waziri Mkuu Mizengo Pinda ametangaza kusitisha Serikali kutoa tamko lake kuhusu mgomo wa madaktari, ambao ulitakiwa kutolewa leo kama alivyoahidi jana Bungeni.
Kauli hiyo imetolewa leo Bungeni na Waziri Mkuu, Pinda, alipokuwa akijibu swali lililoulizwa na Mkuu wa Kambi ya Upinzani bungeni, Freeman Mbowe, aliyetaka kujua Serikali ina mipango gani ya dharula ya kuumaliza mgomo huo.
Alisema kwa hivi sasa, Serikali imechukua dharula, kwa kuwaita madaktari wasitaafu kwenda kwenye baadhi ya Hospitali za Serikali, kushika nafasi maeneo ambayo madaktari waliogoma.
Vilevile Serikali imewataka wananchi waende kuhudumiwa kwenye hospitali za Jeshi, ikiwemo Lugalo.
Pinda ameseama kuwa hata yeye alipopokea taarifa kuwa Dk. Ulimboka ametekwa na kupigwa alisikitika sana, na anamuombea apone haraka ili waendelee na suluhisho la mgomo huo wa madakatari.
Alisema kuwa amemuagiza, Waziri wa Mambo ya ndani kuunda jopo la wataalamu kuchunguza kwa haraka kuhusu tukio hilo.
Kauli hiyo imetolewa leo Bungeni na Waziri Mkuu, Pinda, alipokuwa akijibu swali lililoulizwa na Mkuu wa Kambi ya Upinzani bungeni, Freeman Mbowe, aliyetaka kujua Serikali ina mipango gani ya dharula ya kuumaliza mgomo huo.
Alisema kwa hivi sasa, Serikali imechukua dharula, kwa kuwaita madaktari wasitaafu kwenda kwenye baadhi ya Hospitali za Serikali, kushika nafasi maeneo ambayo madaktari waliogoma.
Vilevile Serikali imewataka wananchi waende kuhudumiwa kwenye hospitali za Jeshi, ikiwemo Lugalo.
Pinda ameseama kuwa hata yeye alipopokea taarifa kuwa Dk. Ulimboka ametekwa na kupigwa alisikitika sana, na anamuombea apone haraka ili waendelee na suluhisho la mgomo huo wa madakatari.
Alisema kuwa amemuagiza, Waziri wa Mambo ya ndani kuunda jopo la wataalamu kuchunguza kwa haraka kuhusu tukio hilo.
on
Maonyesho ya 36 ya Biashara ya Kimataifa kuanza leo - TANTRADE yatangaza viingilio
Mamlaka
ya maendeleo ya biashara Tanzania ( TanTrade) imetangaza viingilio
vipya vya watu na magari katika maonyesho ya kimataifa ya Dar es salaam,
(DITF) yatakayoanza leo tarehe 28 ya mwezi Juni hadi tarehe 8 mwezi ujao.
Katika
taarifa iliyotolewa kwa vyombo vya habari na mdhamini rasmi wa
mawasiliano wa maonyesho hayo Vodacom Tanzania, Tantrade imetangaza
malipo ya Shilingi elfu 2500 kwa watu mzima na shillingi 500 kwa watoto
kila siku isipokuwa siku maalum ya tarehe 7 ambapo viingiio vitakuwa
shilingi 3000 kwa watu wazima na watoto shilingi 1000. Tiketi za kupaki magari madogo kwa siku ni 4000/- ma maroli ni 40000/-
Kwa
watakao hudhuria maonyesho hayo na magari madogo watatakiwa kununua
tiketi kwa shilingi 4000, kama ambavyo mchanganuo wa malipo
unavyobainisha malipo ya huduma nyingine zikiwemo za kupaki magari kama
malori na magari makubwa pamoja na huduma nyingine.
Malipo ya ada binafsi.
1. Kwa siku - watu wazima (siku za kawaida) – 2,500/-
2. Kwa siku- watoto (siku za kawaida) – 500/-
3. Kwa siku – watu wazima (siku ya SabaSaba) – 3,000/-
4. kwa siku – Watoto (siku ya SabaSaba) – 1,000/-
5. malipo kwa kipindi chote cha maonyesho - Beji kwa wahusika wa maonyesho - 20,000/-
6. Beji kwa wahusika wa maonyesho (maeneo) – 3,000/-
Tiketi za uegeshaji magari.
1. Kwa siku (magari madogo) - 4,000/-
2. kwa kipindi chote cha maonyesho – 30,000/-
3. Malipo kwa pamoja – 200,000/-
4. Tiketi za maegesho maalum – 400,000/-
5. Maroli na magari makubwa – 500,000/-
6. Malipo ya kuegesha magari nje ya viwanja vya saba saba – 1,500/-
Maonyesho
ya kimataifa ya Dar es salaam ni maonyesho pekee yanayoongoza katika
huduma za masoko Tanzania, maonyesho hayo yanayodumu kwa siku kumi,
huvutia watazamaji zaidi ya laki tatu na nusu na kutoa fursa kwa
makampuni kuonyesha bidhaa zao na wanaohudhuria kupata nafasi ya kuuliza
maswali na kulinganisha ubora wa bidhaaa kadha wa kadha.
on Wednesday, June 27, 2012
Kamanda Kova azungumzia tukio la kutekwa Dr Ulimboka
Kamanda wa polisi Kanda Maalum ya
Dar es salaam Kamanda Suleiman Kova akizungumza na waandishi wa habari kuhusu
tukio la utekaji nyara na kujeruhi lililompata kiongozi mgomo wa Madaktari Dr.
Steven Ulimboka anayedaiwa kutekwa na watu watano wakati akipata kinwaji katika
klabu ya Leaders Kiondoni jijini Dar es salaam.
Kamanda Kova amesema Ulimboka
aliokotwa na msamaria mwema ambaye hakutaka kumtaja jina lake kiusalama na
kutoharibu upelelezo kuwa msamaria mwema huyo alimuokota Ulimboka katika msitu
wa Mabwepande na kutoa taarifa kituo cha polisi cha Bunju, ambapo polisi
aliyekuwa zamu alichukua maelezo yake na baadae Steven Ulimboka kuletwa katika
hospitali ya taifa ya Muhimbili kwa matibabu zaidi.
Kamanda Kova amesema jeshi la Polisi
Kanda Maalum limeunda jopo maalum kwa ajili ya uchunguzi na upelelezi wa tukio
hilo la utekaji nyara, kwani ni tukio la kwanza kutoke nchini, ameongeza kwamba
wahusika wote watakaobainika kuhusika na tukio hilo wachukuliwa hatua za
kisheria na sheria itafuata mkondo wake ili kukomesha matukio mengine kama hayo.
chanzo: http://www.fullshangweblog.com/
on
Askofu Emanuel Lazaro wa TAG afungua kongamano la udhihirisho - Living Water Centre -KAWE
Bishop Emmanuel
Lazaro aliyekuwa Askofu Mkuu wa Tanzania Assemblies Of God kwa zaidi ya Miaka
26 amefungua Kongamano la Udhihirisho siku ya Jana Katika Kanisa la Living
Water Centre (LWC) almaarufu kama "Makuti Kawe".
Semina hiyo iliyoanza siku ya Jana Mpaka Jumapili itakuwa na Wanenaji kutoka Ndani na Nje ya nchi ya Tanzania chini ya Mchungaji Mwenyeji wa Mahali hapo, Apostle Onesmo Ndegi na Apostle Lilian Ndegi.
Watu Wote Mnakaribishwa katika Semina hiyo inayoendelea leo kuanzia Saa 3 Asubuhi Mpaka jioni kila siku Mpaka siku ya Jumapili tarehe 01 July 2012, Njoo uone Udhihirisho wa Nguvu za Mungu Kupitia neno lake.
Semina hiyo iliyoanza siku ya Jana Mpaka Jumapili itakuwa na Wanenaji kutoka Ndani na Nje ya nchi ya Tanzania chini ya Mchungaji Mwenyeji wa Mahali hapo, Apostle Onesmo Ndegi na Apostle Lilian Ndegi.
Watu Wote Mnakaribishwa katika Semina hiyo inayoendelea leo kuanzia Saa 3 Asubuhi Mpaka jioni kila siku Mpaka siku ya Jumapili tarehe 01 July 2012, Njoo uone Udhihirisho wa Nguvu za Mungu Kupitia neno lake.
on
Blogger alasiri hii akiwa na wadau wa UCC tawi la Mbezi Beach
Meneja wa Tawi la UCC Mbezi Beach Mr Antony Karokola |
Kutoka kushoto ni Blogger ,Audax Mujuni,Diana Akyoo, Elizabeth Mawi, Antony Karokola, Nyamama Machumu, Joyce Liwa , Omary Mdakama , Juma Mwita |
Hapa ni mapokezi , kwa mbali anaonekana Ms Diana Akyoo akiwa katika majukumu yake ya kila siku tawini. |
Hii ni office ya mameneja wasaidizi , anaonekana Ms Nyanyama Machumu na kwa mbali ni Audax Mujuni wakichapa kazi kama kawaida. |
on
Breaking News !!! Dr Ulimboka atekwa, aokotwa akiwa mahututi
Dr Ulimboka akiwa katika moja ya mikutano na madaktari wenzake. |
Taarifa iliyonifikia hivi punde ni kuwa jemedari Dr. Ulimboka Stiven ametekwa majira ya saa sita usiku jana na watu watatu waliokuwa na silaha za moto na kumpeleka kusikojulikana! Inasemekana alipigiwa simu na jamaa mmoja aliyejitambulisha kwa jina moja la 'Abeid' ambaye tangu mwanzo amekuwa akiwasiliana naye na kujiita afisa wa serikali na kudai kuwa alitaka aonane naye face to face kwa ajili ya reconciliation.
Taarifa zimekwisha fikishwa polisi na sehemu zingine kwa ajili ya ufuatiliaji
Tizama picha
Source: http://www.jamiiforums.com
on
Jakob Michelsen atambulishwa rasmi kuwa Kocha wa Timu ya Vijana Tanzania
Shirikisho
la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limemtambulisha rasmi jana tarehe 26 June 2012 mbele ya
waandishi wa habari kocha mpya wa timu za Taifa za vijana, Jakob
Michelsen kutoka Denmark ambaye amechukua nafasi ya Kim Poulsen ambaye
hivi sasa anainoa Taifa Stars.
Michelsen
ambaye amepewa mkataba wa mwaka mmoja alitambulishwa na Katibu Mkuu wa
TFF, Angetile Osiah na kusema falsafa yake ni kama ile ya Poulsen ya
kumiliki mpira na kushambulia muda wote wa mchezo.
Kabla
ya kuja Tanzania, Michelsen alikuwa kocha wa timu ya daraja la kwanza
ya Hobro IK ya Denmark. Ana leseni A ya ukocha kutoka Shirikisho la
Mpira wa Miguu Ulaya (UEFA), leseni ya ukocha wa vijana kutoka Chama cha
Mpira wa Miguu cha Denmark (DBU).
Moja
ya mafanikio yake ni kuipa ubingwa wa Denmark, timu ya Skovbakken
kwenye ligi ya timu zenye umri chini ya miaka 18. Ubingwa huo aliupata
msimu wa 2005/2006.
TFF KUZAWADIA WAPIGA PICHA COPA COCA-COLA
Shirikisho
la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) litawazawadia wapiga picha za
magazetini watakaoripoti mashindano ya Copa Coca-Cola 2012 ngazi ya
Taifa yanayoendelea kwenye mikoa ya Dar es Salaam na Pwani.
Mashindano
hayo yanayodhaminiwa na Kampuni ya Coca-Cola na kushirikisha mikoa 28
yanafanyika viwanja vya Tanganyika Packers, Kumbukumbu ya Karume mkoani
Dar es Salaam, na viwanja vya Tamco na Nyumbu mkoani.
Zawadi
ya sh. 250,000 itatolewa kwa picha bora katika maeneo matatu; action
picture, fair play picture na mpiga picha ambaye ameripoti matukio mengi
ya mashindano hayo yanayoshirikisha vijana wenye umri chini ya miaka
17.
Washiriki wanatakiwa kuwasilisha picha zao zilizotumika (cuttings) ofisi za Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF).
NGORONGORO HEROES KUJIPIMA KWA MISRI, RWANDA
Timu
ya Taifa ya vijana wenye umri chini ya miaka 20 (Ngorongoro Heroes)
itacheza mechi nne za kirafiki na timu za Misri na Rwanda kabla ya
kuivaa Nigeria kwenye mashindano ya Afrika.
Ngorongoro
Heroes ambayo kwa mara ya kwanza itakuwa chini ya kocha mpya Jakob
Michelsen itaanza kwa kucheza mechi mbili za Misri zitakazofanyika Julai
3 na 5 mwaka huu, na baadaye Julai 14 na 16 mwaka huu dhidi ya Rwanda.
Mechi
zote zitachezwa nchini, na kama ilivyo Ngorongoro Heroes, Misri na
Rwanda nazo ziko kwenye kinyang’anyiro cha kusaka tiketi za kucheza
Fainali za Afrika kwa vijana wenye umri chini ya miaka 20
zitakazofanyika mwakani nchini Algeria.
Katika
raundi ya kwanza, Ngorongoro Heroes iliitoa Sudan ambapo katika raundi
ya pili imepangiwa Nigeria, na mechi ya kwanza itafanyika jijini Dar
es Salaam, Julai 29 mwaka huu. Timu hizo zitarudiana wiki mbili baadaye
nchini Nigeria.
Iwapo
Ngorongoro Heroes itafanikiwa kuitoa Nigeria, katika raundi ya mwisho
itacheza na mshindi kati ya Congo Brazzaville na Afrika Kusini.
MABINGWA COPA WALALA KWA RUVUMA
Ruvuma
imeanza vizuri michuano ya Copa Coca-Cola baada ya kuwafunga mabingwa
watetezi Kigoma mabao 2-0 katika mchezo wa kundi A uliofanyika leo
asubuhi (Juni 26 mwaka huu) kwenye Uwanja wa Kumbukumbu ya Karume, Dar
es Salaam.
Kigoma
ambayo iliifunga Lindi mabao 2-0 katika mechi ya ufunguzi iliyochezwa
juzi, ilishindwa kufua dafu mbele ya Ruvuma na kuruhusu bao katika kila
kipindi.
Mabao
yote ya washindi yalifungwa na mshambuliaji Edward Songo. Mshambuliaji
huyo alifunga bao la kwanza dakika ya 34 wakati la pili alilipachika
dakika ya 84.
Katika
mechi nyingine zilizochezwa leo asubuhi, Tanga na Morogoro zilitoka
sare ya mabao 3-3 katika mchezo uliofanyika Uwanja wa Tanganyika Packers
ulioko Kawe, Dar es Salaam.
Mkoani
Pwani, Mara iliifunga Temeke bao 1-0 kwenye Uwanja wa Nyumbu wakati
Kagera ililala bao 1-0 mbele ya Kilimanjaro katika mchezo uliochezwa
Uwanja wa Tamco.
Chanzo:
on
We need to find kids who can play just like Pirlo
England
0 Italy 0 (aet, Italy win 4-2 on pens)
Let’s be fair to ourselves and the Italians and admit it’d have been an injustice had we won. They were by far the better team even though there is no one more patriotic than me.I am pinning a lot of hope on the new St George’s Park development centre and on coaches at every level in England.We must get our kids to play, play, play. Realise it’s not all about being strong, big or fast.Look at Pirlo against England — he had no pace, strength and he’s ancient. But what a fabulous display.
Comments by Harry Redknapp
Sources http://www.thesun.co.uk/sol/homepage/sport/football/euro2012/4392781/Harry-Redknapps-England-verdict.html
on Monday, June 25, 2012