Social Icons

Loading...

Breaking News !!! Dr Ulimboka atekwa, aokotwa akiwa mahututi

Dr  Ulimboka  akiwa katika  moja  ya  mikutano na  madaktari wenzake. 

Taarifa iliyonifikia hivi punde ni kuwa jemedari Dr. Ulimboka  Stiven  ametekwa majira ya saa sita usiku  jana na watu watatu waliokuwa na silaha za moto na kumpeleka kusikojulikana! Inasemekana alipigiwa simu na jamaa mmoja aliyejitambulisha kwa jina moja la 'Abeid' ambaye tangu mwanzo amekuwa akiwasiliana naye na kujiita afisa wa serikali na kudai kuwa alitaka aonane naye face to face kwa ajili ya reconciliation.
Taarifa zimekwisha fikishwa polisi na sehemu zingine kwa ajili ya ufuatiliaji

Tizama  picha

author

This post was written by: Author Name

Your description comes here!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

CodeNirvana
© Copyright Daniel Blog in Contemporary News
Back To Top