Social Icons

Loading...

Asante Bwana Yesu kwa hatua hii...

Jana   tarehe   16  march  2014  katika  ibada  zote   mbili  katika  kanisa  la   TAG  Kinondoni Revival  Church ( KRC )  mmliki  wa   blog hii    Bloger  Daniel  na  Mtarajiwa  wake  Bibi Penina  waliweka  mambo  hadharani    na kuwekewa  mikono  na  makuhani  katika  kanisa  hilo  na  kisha  baadaye   katika tafrija  fupi  ya  kuwapongeza  wachumba    iliyofanyika   Chichi  Hotel  kinondoni  , asante  sana  wote  kwa  kutuombea  na  tunahitaji pia  neema  na  mchango  wako  wa  mawazo na  mali  kufanikisha  jambo  hili  mwezi   wa  sita  mwishoni  mwaka   huu
Mungu   wetu  akubariki  sana .
Daniel.
Jopo  la  viongozi  wa   kanisa la  TAG   Kinondoni  revival church  likiongozwa na  Mama  Askofu   Dr Rogather Z .Swai   wakiomba maombi  ya  baraka na  ulinzi   wa  Mungu kwa   wachumba.

   Tukitakiana    kheri  na    mkono  wa  pongezi,  Asante  Yesu  kwa neema  hii.
            Tabasamu  la  ukweli ,
 Keki  maalumu..
                             Daniel  na  Penina.
    Jamaa  , ndugu  na  marafiki  katika  hafla  ya  kuwapongeza   watarajiwa.
author

This post was written by: Author Name

Your description comes here!

Get Free Email Updates to your Inbox!

1 comments:

Post a Comment

CodeNirvana
© Copyright Daniel Blog in Contemporary News
Back To Top