Social Icons

Loading...

What Is AI Technology?

 Artificial intelligence (AI) technology simulates human intelligence using computer systems powered by advanced machine learning algorithms. AI technology can perform many functions that previously could only be performed by humans - including...

CBET Training Workshop- HQ

...

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mkinga Afikishwa Mahakamani Kwa Kosa La Kumtishia Bastola Askari wa Usalama Barabarani (Trafiki)

Ilikuwa kama mchezo wa kuigiza kwenye Mahakama ya Hakimu Mkazi Morogoro baada ya Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mkinga mkoani Tanga, Emmanuel Mkumbo kufikishwa ili apandishwe kizimbani kujibu mashtaka sita, likiwamo la kutishia kuua.  Tukio ...

Jambazi Awajeruhi Kwa Bomu Askari na Raia Wanne Kigoma

Polisi na raia wanne wamejeruhiwa kwa bomu la kutupwa kwa mkono walipokuwa wakimkamata mtuhumiwa wa ujambazi kwenye Kijiji cha Uvinza mkoani Kigoma. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kigoma, Ferdinand Mtui alisema jana kuwa tukio hilo lilitokea Oktoba...

Basi la Barcelona Lapata Ajali na Kuua Watu 10 Mkoani Lindi

Watu 10 wamefariki dunia na wengine 44 wamejeruhiwa baada ya basi la kampuni ya Barcelona walilokuwa wakisafiria kutoka jijini Dar es Salaam kwenda mkoani Lindi  kupata ajali eneo na Miteja mkoani Lindi. Taarifa iliyotolewa na Kamanda...

Huu ni Zaidi ya MSHIKAKI

...

KP LEO

...

Kikwete Chairs First UN High Level Panel on Response to Health.

PRESIDENT Jakaya Kikwete yesterday chaired his first meeting of United Nations Secretary General's High Level Panel on the Global Response to Health Crises. The meeting is taking place at the Office of the Secretariat of the United Nations Secretary...

NMG yapata ofisa mtendaji mkuu mpya

Mr   Joseph   Muganda Bodi ya Wakurugenzi ya Kampuni ya Nation Media Group (NMG) imemtangaza Joseph Muganda kuwa Mkurugenzi Mtendaji na Ofisa Mtendaji Mkuu mpya atakayeshika hatamu ya uongozi wa kampuni hiyo kuanzia Julai Mosi...

Dar Mgomo wa Mabasi waingia siku ya 2 na Sasa Waisha..

Hatimaye madereva wa mabasi na malori wameamua kusitisha mgomo leo baada ya Serikali kuwahakikishia kuwa inaandaa utaratibu mzuri wa kujibu na kushughulikia matatizo yao. Mgomo huo ulioanza jana umesababisha usumbufu...

Waliojitokeza kuwania urais CCM hawana sifa.

Harakati za kuwania urais ndani ya CCM zimeingia katika hatua mpya baada ya mwanasiasa mkongwe, Kingunge Ngombale - Mwiru kuibuka na kudai kuwa wote waliojitokeza kuwania nafasi hiyo hawana sifa kwa kuwa wanatumia fedha kutaka kuingia Ikulu. Kauli...

Kp Leo

...

Idea on how to write a CV

THE NUMBER ONE PURPOSE OF A CV The CV is a tool with one specific purpose: to win an interview. A CV is an advertisement, nothing more, nothing less. A great CV doesn't just tell them what you have done but makes the same assertion that all good...
© Copyright 2025 Daniel Blog in Contemporary News | Designed By Code Nirvana
Back To Top