Social Icons

Loading...

JK ataka vyuo vikuu nchini kudahili wanafunzi wengi.

Rais Jakaya Kikwete amevitaka vyuo vikuu nchini kuweka nguvu zaidi, kuhakikisha vinadahili wanafunzi wa shahada za juu ili kupata wahadhiri.
Akizungumza baada ya kutoa hati idhini kwa Vyuo Vikuu na Vyuo Vikuu Vishiriki vinane, Rais Kikwete alisema kufanya hivyo vitakabiliana na tatizo la uhaba wa wahadhiri linalovikabili hivi sasa.
“Pale kwenye upungufu tusisite kutafuta wataalamu wengine kutoka nje ya nchi. Wakati wa miaka ya 1970 tulipokuwa tunasoma pale Chuo Kikuu (Mlimani), tulikuwa na wahadhiri wengi kutoka nje,” alisema Rais Kikwete.Licha ya suala hilo, Rais Kikwete alisisitiza umuhimu wa vyuo hivyo kuwekeza kwenye utoaji elimu bora.“Ikumbukwe idadi kubwa ya wanafunzi haitoshi, lazima tuzingatie ubora. Tunataka mwanafunzi anayepata shahada nchini ajulikane popote anapokwenda,” alisema Rais Kikwete na kuongeza
Taarifa  kwa hisani  ya  mwananchi.
author

This post was written by: Author Name

Your description comes here!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

CodeNirvana
© Copyright Daniel Blog in Contemporary News
Back To Top