Social Icons

Loading...

TAMASHA la Sports Bar & Sports Xtra Day viwanja vya Leaders.

Tamasha  la  Clouds FM  Sports Bar & Sports  Xtra   lililowakutanisha  wafanyakazi  wa  makampuni   14   kadhaa  hapa  Dar  kwa  lengo  la   burudani    na  kujenga  afya  katika  michezo  mbalimbali  ukiwemo  mchezo  wa  soka.Mshindi  katika  tamasha  hilo  ni  timu  ya  soka  ya  TANESCO    baada ya  kuifunga  timu  ya  soka ya   Fast Jet.
   Mwonekano     viwanjani  Leaders   katika  siku  ya   Clouds  FM   Sports  Extra  Day.
    Blogger    akiwa  na  mratibu  mkuu   wa  tamasha   hilo   mfanyakazi  wa   kituo  cha    Clouds  FM   Mr  Shaffih  Dauda.

   Dream  team  ya   Clouds  FM  wakipata  mawaidha     wakati  wa  mapumziko.


 Mdau     Chediel  Msuya   wa  NHC    akishanglia  moja  ya  goli   liliofungwa  na  timu    yake  dhidi  ya  NMB.
    Timu   ya    Vodacom    ikichuana  na   CRDB.
   Blogger   akiwa  na  wadau  wa   NHC .



  Meneja wa bia ya Castle Lager (TBL) Kabula Nshimo akimkabidhi nahodha wa timu ya Fast Jet kikombe kwa kuibuka washindi wa pili katika bonanza la soka la Mei Mosi lililojulikana kwa jina la Sports Bar & Sports Xtra Day,lililoratibiwa na Clouds Media Group.
 Muwakilishi kutoka benki ya NMB akimkabidhi kombe nahodha wa timu ya TANESCO,mara baada ya kuibuka washindi wa kwanza katika  bonanza la soka la Mei Mosi lililojulikana kwa jina la Sports Bar & Sports Xtra Day,lililoratibiwa na Clouds Media Group na kufanyika kwenye viwanja vya Lidaz Club,Kinondoni jijini Dar.
author

This post was written by: Author Name

Your description comes here!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

CodeNirvana
© Copyright Daniel Blog in Contemporary News
Back To Top