Social Icons

Loading...

DCI Manumba arejea, ashukuru Watanzania


Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai (DCI), Robert Manumba amerejea jana akitokea nchini Afrika Kusini alikokuwa akitibiwa kwa zaidi ya miezi miwili.

DCI Manumba alisafirishwa kwenda nchini Afrika Kusini Januari 26, mwaka huu kwa matibabu zaidi baada ya kulazwa katika Chumba cha Wagonjwa Mahututi (ICU) cha Hospitali ya Aga Khan tangu Januari 13, mwaka huu.
author

This post was written by: Author Name

Your description comes here!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

CodeNirvana
© Copyright Daniel Blog in Contemporary News
Back To Top