Social Icons

Loading...

Sakata la gesi Mtwara, Baba wa Taifa akumbukwa


SAKATA  la wakazi wa Mkoa wa Mtwara kupinga rasilimali ya gesi ghafi asilia inayovunwa katika kijiji cha Msimbati mkoani humo kupelekwa Dar es Salaam kwa njia ya bomba limepamba moto huku viongozi wa Chama cha Wananchi (CUF), wakitumia hotuba na nukuu za kauli za Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere kuhamasisha wananchi kumuenzi mwasisi huyo wa taifa kwa kuupinga mradi huo.
Katika mkutano mkubwa uliofanyika jana Mtaa wa Sinani mjini hapa viongozi wa CUFWilaya ya Mtwara Mjini, walikuja na mbinu mpya ya kuhamsisha wananchi kuendelea na msimamo huo kwa  kutoa hotuba za nukuu  ya kauli za Baba wa Taifa kuhusu mustakabali wa hali ya maisha ya wananchi katika mazingira ya wachache kuwakandamiza wengi.
Saidi Kulaga, Katibu wa CUF Wilaya ya Mtwara mjini alisema kinachotokea leo kwa wakazi wa mikoa ya Kusini ni kumuenzi Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere ambaye kwa nyakati tofauti alinukuliwa akionya viongozi kuandamiza wengi.
Katibu huyo akisoma karatasi ya nukuu hizo kutoka katika kitabu cha ‘Reflection on Leadership in Africa’ kilichopigwa chapa na VUB University Press, 2000 alisema  mwasisi huyo wa Taifa katika kitabu hicho amenukuliwa akisema
Habari  zaidi   http://www.mwananchi.co.tz/habari/Kitaifa/-/1597296/1663260/-/11r24q6/-/index.html
author

This post was written by: Author Name

Your description comes here!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

CodeNirvana
© Copyright Daniel Blog in Contemporary News
Back To Top