![]() |
TRENI YA MWAKYEMBE YAANZA MAJARIBIO DAR. |
Shughuli pevu ipo kwa daladala za Jijini kugombea abiria. Sasa sijui na bei wanayopandisha kila siku itapungua? Vipi kukatisha "route" wataendelea? Je! Zoezi hili na mwisho ndoto ya kuwa na usafiri wa treni ili kupunguza msongamano wa magari Dar na kurahisisha usafiri itakamilika? Wacha tuendelee kusubiri kwani 15/10/2012 haiko mbali kama tulivyoahidiwa. Lakini pia swali lingine wanalouliza wadau ni Je! Usafiri huu utadumu au utakuwa kama huo wa TRL? Udhibiti wa ajali katika makutano ya barababra na reli au pale reli inapopita katika makazi ya watu au sokoni je umezingatiwa?
HONGERA DR. MWAKYEMBE NA TIMU YAKO INGAWA KAZI BADO MBICHIIIII.
Post a Comment