Social Icons

Loading...

Maandamano ya Waandishi wa habari Jijini Dar es Salaam leo Kupinga mauaji ya Mwandishi Daudi Mwangosi

                                                       Huyu ni Manyerere Jackton na bango lake



Katibu Mkuu wa Jukwaa la Wahariri Tanzania, Nevile Meena akihutubia katika mkutano uliofanyika viwanja vya Jangwani, Dar es Salaam jana, kulaani ktendo cha Polisi kumuua kwa bomu Mwandishi wa habari wa Kituoc ha Televisheni cha Channel Ten, Mkoa wa Iringa, marehemu Daudi Mwangosi katika vurumai zilizotokea wakati Chadema wakifungua tawi katika Kijiji cha Nyololo, wilayani Mufindi hivi karibuni.

Mwandishi Lauden Mwambona akiwa amefunga mdomo kama hivi wakati wa maandamano hayo


Waziri wa Mambo ya Ndani Dk.Emmanuarl Nchimbi akiondoka akisindikizwa na viongozi wa Jujwaa la Wahariri


author

This post was written by: Author Name

Your description comes here!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

CodeNirvana
© Copyright Daniel Blog in Contemporary News
Back To Top