Social Icons

Loading...

Mdau Emmanuel Mniko apata Mtoto wa Pili.

Tunamshukuru  Mwenyezi  Mungu  kwa  baraka   alizowajalia    Familia   ya  Mr  & Mrs  Mniko   a.k.a  Mchwali ,   mdau  huyo   amewahi  kufanya  kazi kwa nyakati  tofauti  UCC  tawi  la  Mwanza,  Plan International   Geita,   SITA  Group  of  companies  Dar es  Salaam   kisha akaamua  kutimukia     jiji la Adelaide, South Australia   ambako  ndiko  anaishi  kwa sasa yeye   pamoja  na  familia  yake.-   HONGERENI  SANA.
                                       Mdau   Mniko  akiwa  amempakata  mtoto  Selisha
author

This post was written by: Author Name

Your description comes here!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

CodeNirvana
© Copyright Daniel Blog in Contemporary News
Back To Top