Social Icons

Loading...

Zoezi la uokoaji Kivuko cha Mv Magogoni lafana ..

Wiki hii  Jeshi  la  wananchi  la  Tanzania  kikosi cha   wanamaji      linaendesha    zoezi/ Onesho  la  namna  ya  kupambana    na  majanga  ya  ajali  za  majini katika  Kivuko  cha  Kigamboni, ikiwa  ni   sehemu  ya  maadhimisho  ya  siku  ya  majeshi nchini   1  September .
         Waathirika  wa  ajali  wakiwa  kati  kati  ya  mkondo  wa  bahari  , wakisubiri  kuokolewa
                          Mfano  wa  ajali  ya  majini,   waathirika  wakitapatapa  kuhitaji  msaada  wa  uokozi.

                                Boti  ya  jeshi  ikielekea  sehemu  ya  tukio  tayari  kwa  uokozi.
                                                         Feri  -  Kigamboni

                        Boti  ikiwa  inaondoka  eneo la  tukio   baada  ya   uokoaji  kukamilika.
author

This post was written by: Author Name

Your description comes here!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

CodeNirvana
© Copyright Daniel Blog in Contemporary News
Back To Top