Social Icons

Loading...

FoF Moja Juu...Ni Juuuu Sanaaa - Yatimiza mwaka

Friends On Friday Event ya Dar Ikiwa Inatimiza Mwaka mmoja tangu ilipoanza Siku Ya Jana imetimiza Mwaka mmoja na kufanya event ya Aina yake yenye jina la "FoF Moja Juu".

Event hiyo iliyopambwa na matukio ya kupendezesha ilifanyika katika eneo la Makumbusho ilianza saa 1 Jioni na kumalizika saa 6 Usiku.


Champagne   maalumu  non alcoholic aka "Non o'clock"  kwa usiku  wa  FOF  moja juu  zikufunguliwa kusherehesha  tafrija hiyo.
Mc  Papaa   Sam  Sasali  ze  Blogger    akiwa  stejini  kuwapa  vitu roho  inapenda wadau FOF usiku huo.
Nyomii    ya  wadau  wa  FOF.


 Wadau  wa  FOF  wakicheza Kwaito ,duu  ilikuwa  furaha  sana  .

author

This post was written by: Author Name

Your description comes here!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

CodeNirvana
© Copyright 2025 Daniel Blog in Contemporary News | Designed By Code Nirvana
Back To Top