Social Icons

Loading...

Breaking newzzzz!! Mh. Dkt. J.K. Ndani ya Banda la UDSM Saba Saba


 Rais  wa  Jamhuri ya Muungano wa  Tanzania Mh Dkt Jakaya Mrisho  Kikwete atembelea katika  banda la UDSM , pichani  akipata maelezo ya  shughuli   za  chuo na  taasisi  zake katika  banda hilo.
Rashid Kikwete (mtoto wa Rais) akiwa kwenye majaribio kutumia SMART Board na pia akiwa kwenye jaribio la kumpasua chura ki-elekroniki. Kushoto ni ndg. Mokiwa, mtaalamu wa Teknologia hii kutoka UCC akimpa msaada wa karibu.

Balozi  wa  Amani   , Nongwa  akimpa  somo  mheshimiwa  Rais  kuhusiana  na  huduma za   UCC   LTD   viwanjani Saba  saba.
 
author

This post was written by: Author Name

Your description comes here!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

CodeNirvana
© Copyright Daniel Blog in Contemporary News
Back To Top