Social Icons

Loading...

Stars wamwagiwa 30Mil.


Mwenyekiti wa Kamati ya Timu ya soka ya Taifa (Taifa Stars), Mohamed Dewji (wa tatu kulia) pamoja na wajumbe wengine wa kamati hiyo wakiwakabidhi Meneja wa timu hiyo, Taso Mukebesi (kushoto) na Nahodha wa Taifa Stars, Juma Kaseja (wa pili kushoto) sh. mil. 30 kwa ajili ya kuwapa hamasa wachezaji na viongozi wa timu hiyo  kuelekea  mechi  dhidi ya  SIMBA  wa  milima  ya  ATLAS   Morroco.
author

This post was written by: Author Name

Your description comes here!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

CodeNirvana
© Copyright Daniel Blog in Contemporary News
Back To Top