Social Icons

Loading...

Mengi kugawa milioni 12 kwa vijana watakao-tweet kuhusu kuondoa umasikini .

Kwa muda mrefu sana, nimekuwa nikiamini kuwa, Watanzania tumekuwa tukijidanganya kudhania na kuendelea kuamini kuwa, maendeleo ya kiteknolojia yamekuwa sababu ya kuporomoka kwa maadili ya vijana wengi wa Kitanzania.
Na leo hii, mtazamo wangu umepata msukumo mpya baada ya kusoma kuwa, kwa kipindi cha miezi 12 kuanzia sasa, kuna Mtanzania mmoja ambaye ataweza kujipatia kitita cha shilingi za kitanzania milioni moja kutokana na matumizi ya mitandao ya kijamii. Unashangaa? Hapana, usishangae, maana ni ukweli mtupu…… iko hivi:-
Mmoja kati ya Watanzania ambao wamejijengea heshima kubwa sana katika jamii ndani na nje ya mipaka ya nchi, Mzee Reginald Mengi, ameahidi kuanza kutoa kitita cha shilingi milioni moja kila mwezi kwa Mtanzania ambaye ataandika kitu au wazo ambalo litakuwa na uelekeo wa kushinda vita dhidi ya umasikini, kupitia ukurasa wake wa twitter. 
Chanzo  fuatilia : http://www.jukwaahuru.com/?p=15693
author

This post was written by: Author Name

Your description comes here!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

CodeNirvana
© Copyright Daniel Blog in Contemporary News
Back To Top