Social Icons

Loading...

City Branch UCC Watembelea Kurasini Home Children Centre

Branch  Manager  wa  Ucc City  Branch  Mrs Faith Shayo  akikadhi  sehemu  ya  msaada  wa  chakula   na  vifaa    kwa    Afisa   mkuu  Mfawidhi  wa  kituo  cha  Kurasini  Home  Children Center   Ndg   Ramadhani  Yahya.Kituo   hiki  kiko  chini  ya  serikali  ya   Jamhuri  ya  Muungano  wa    Tanzania ( URT)   kimeanzishwa  mnamo  mwaka  1966  na kwa  sasa  kinatunza na kulea   watoto  wenye  kuanzia  umri wa  miaka  3  mpaka   17   wapatao    zaidi  60.

  Afisa   Mfawidhi  wa  KHCC   Mr  Ramadhani  Yahya  akipokea   moja  ya  kifurushi    kwa   niaba  ya  watoto.
  Lango   kuu  kituo cha   serikali cha   Kurasini  Home Children Center  maskani ya  watoto    ambao walio  wengi   ni  yatima,waliotelekezwa au  kukataliwa  na  wengine  hata  wazazi/walezi  wao  hawajahi  kuwatia  machoni , ukiingia  ndani  ya  ukuta huu  utajifunza  mengi   toka  kwa   viumbe  hawa  ambao   ni  Taifa  la  leo  la  Tanzania.
PICHA   ZAIDI  TEMBELEA  http://ucctznews.blogspot.com
author

This post was written by: Author Name

Your description comes here!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

CodeNirvana
© Copyright Daniel Blog in Contemporary News
Back To Top