Social Icons

Loading...

MVUA IKINYESHA DAR CITY CENTRE ( POSTA MPYA ) HUWA HIVI

Miundo   mbinu    eneo  la    POSTA  MPYA  Dar  City  Center  huwa   mbedembede    mvua  inaponyesha   hasa  kwa  mitaro  kushindwa  kuhimili    wingi  wa  maji    na  takataka  zingine . Wiki  hii  siku  ya  jumanne   mvua  zinazoendelea  kunyesha   hali iko  hivi  kama  ilivyoshuhudiwa  na    mwandishi wa  blog hii  kiasi    kikubwa   kuwa   kero    na   karaha  kwa  watumiaji  wa   stendi  ya  daladala  Posta  Mpya.
 Gari    kama  zinaelea  vile ,  maji  yakiwa  yamejaa    barabarani.
 Wafanyabiashara   eneo  la  stand   nao   hali ilikuwa  si shwari  kwani  wanalazimika  kufunga  biashara  zao.
  Maji  yakiendelea  kutiririka    barabarani .
 Kituo   cha     mafuta  cha  ORYX    palikuwa  hapapitiki  kabisa  .


      
author

This post was written by: Author Name

Your description comes here!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

CodeNirvana
© Copyright Daniel Blog in Contemporary News
Back To Top