Miundo mbinu eneo la POSTA MPYA Dar City Center huwa mbedembede mvua inaponyesha hasa kwa mitaro kushindwa kuhimili wingi wa maji na takataka zingine . Wiki hii siku ya jumanne mvua zinazoendelea kunyesha hali iko hivi kama ilivyoshuhudiwa na mwandishi wa blog hii kiasi kikubwa kuwa kero na karaha kwa watumiaji wa stendi ya daladala Posta Mpya.
Gari kama zinaelea vile , maji yakiwa yamejaa barabarani.
Wafanyabiashara eneo la stand nao hali ilikuwa si shwari kwani wanalazimika kufunga biashara zao.
Maji yakiendelea kutiririka barabarani .
Kituo cha mafuta cha ORYX palikuwa hapapitiki kabisa .
Gari kama zinaelea vile , maji yakiwa yamejaa barabarani.
Wafanyabiashara eneo la stand nao hali ilikuwa si shwari kwani wanalazimika kufunga biashara zao.
Maji yakiendelea kutiririka barabarani .
Kituo cha mafuta cha ORYX palikuwa hapapitiki kabisa .
Post a Comment