Social Icons

Loading...

Je Mghana kumrithi Papa Benedict wa 16

Kadrinali Peter Turkson
Kardinali Peter Turkson ambaye ni Mghana anatajwa kuwa miongoni mwa wanaoweza kumrithi Papa Benedikti wa 16 ambaye atajiuzulu mwisho wa mwezi huu. 

Iwapo Turkson atafanikiwa kuwa Papa, atakuwa mtu mweusi wa kwanza kushika nafasi hiyo ya ukuu wa Kanisa Katoliki.Moja ya mambo yanayozungumzwa kuhusu Kardinali huyo ni mtizamo wake kuhusu kukua kwa Uislamu duniani.

Licha ya kuongea lugha yake ya asili ya Fante na lugha nyingine za asili za Ghana, Kardinali Turkson anaongea pia Kiingereza, Kifaransa,Kitaliano,Kijerumani na Kiyahudi.Pia anafahamu Kigiriki na Kilatini.
'Mapapa watarajiwa wengine ni kama ifuatavyo:


                                 Kardinali Luis Tagle wa Ufilipino
                              Kardinali Angelo Scola wa Italia
                               Kardinali Christoph Schoenborn wa Austria
                                Kardinali Odilo Pedro Scherer wa Brazil
                                     Kardinali Ginafranco Ravasi wa Italia
                              Kardinali Peter Erdo wa Hungary
                              Kardinali Francis Arinze wa Nigeria.

Kardinali Joao Braz de Aviz wa Brazil
author

This post was written by: Author Name

Your description comes here!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

CodeNirvana
© Copyright Daniel Blog in Contemporary News
Back To Top