Kadrinali Peter Turkson |
Kardinali Peter Turkson ambaye ni Mghana anatajwa kuwa miongoni mwa
wanaoweza kumrithi Papa Benedikti wa 16 ambaye atajiuzulu mwisho wa
mwezi huu.
Iwapo Turkson atafanikiwa kuwa Papa, atakuwa mtu mweusi wa kwanza kushika nafasi hiyo ya ukuu wa Kanisa Katoliki.Moja ya mambo yanayozungumzwa kuhusu Kardinali huyo ni mtizamo wake kuhusu kukua kwa Uislamu duniani.
Licha ya kuongea lugha yake ya asili ya Fante na lugha nyingine za asili za Ghana, Kardinali Turkson anaongea pia Kiingereza, Kifaransa,Kitaliano,Kijerumani na Kiyahudi.Pia anafahamu Kigiriki na Kilatini.
Iwapo Turkson atafanikiwa kuwa Papa, atakuwa mtu mweusi wa kwanza kushika nafasi hiyo ya ukuu wa Kanisa Katoliki.Moja ya mambo yanayozungumzwa kuhusu Kardinali huyo ni mtizamo wake kuhusu kukua kwa Uislamu duniani.
Licha ya kuongea lugha yake ya asili ya Fante na lugha nyingine za asili za Ghana, Kardinali Turkson anaongea pia Kiingereza, Kifaransa,Kitaliano,Kijerumani na Kiyahudi.Pia anafahamu Kigiriki na Kilatini.
Kardinali Luis Tagle wa Ufilipino
Kardinali Angelo Scola wa Italia
Kardinali Christoph Schoenborn wa Austria
Kardinali Odilo Pedro Scherer wa Brazil
Kardinali Ginafranco Ravasi wa Italia
Kardinali Peter Erdo wa Hungary
Kardinali Francis Arinze wa Nigeria.
Post a Comment