FoF Xposee ya kwanza mwaka huu
imefanyika kwa mafanikio makubwa katika Ukumbi wa Princes Hall Sinza ambapo kundi
maarufu la Glorious Celebration, Amani Kapama, Bomby Johnson na Jesca
Honore walinogesha tamasha ,vyombo vya habari kadha wa kadha kama Sibuka Tv, Clouds Tv, wanahabari wa kumwaga wa mitandao ya kijamii (Bloggers) walikuwepo ,Lengo la Friends On Friday( FOF) ni kukutanisha watu wa rika , taaluma, vipawa na background tofauti ili kujenga mitandao ya kibiashara, kijamii , kitaaluma na kiimani na hufanyika kila ijumaa ya mwanzo wa mwezi na theme ya FOF hii ya February hii ni Vunja ukimya ( FOF Exposee) .
Exposee si chini ya Tano Zimefanyika , kama Ifuatavyo.
1. Mwanamuziki Jesca Honore ametangaza kuwa atazindua albam yake yenye jina la "Nimevunja Ukimya" Katika Ukumbi wa Serena Hoteli Katikati Ya Jiji la Dar-es-Salaam. Wakati huo huo Mwanadada huyo pia ali Xposee hadharani kuwa Mwaka huu mwezi wa tano atakuwa akifunga pingu za Maisha na Mtangazaji maarufu wa Channel Ten Boniface Magupa.
2. Mc Maarufu katika Jiji la Dar-es-Salaam Lawrance Mwantimwa ametangaza rasmi kufunga pingu za maisha na Mtoto wa Mchungaji Miss Wema lakini sio Sepetu, mapema mwezi wa April. Aki exposee Usiku wa Leo alieleza kuwa wamekuwa marafiki tangu mwaka 2001.
3. Kundi Maarufu la Glorious Celebration wame Exposee Usiku wa leo na kusema tarehe 24 February, 2013 wanatazamia kusheherekea miaka 2 tangu kundi hilo maarufu lizinduliwe rasmi katika Jiji la Dar. Mratibu wa Anniversary hiyo ya Glorious Mr. Prosper Mwakitalima ali exposee kuwa event hiyo itafanyika katika Kanisa la VCCT mbezi beach Kawe.
4. Mwenyekiti wa Friends On Friday Jijini Dar-es-Salaam, Papaa Ze Blogger ame Xposee usiku wa leo kwa kueleza anatazamia kuzindua kipindi kipya cha Tv katika Clouds Tv. Kipindi hicho cha Gospel Music and News kinatazamiwa kuanza rasmi mwezi huu wa pili.
5. Comedian Maarufu kama Mc Pilipili ame Xposee Usiku wa leo kuwa ameamua kuacha kazi ya Ualimu na Kuingia kwenye Comedian full time. Mc Pilipili alieleza kuwa ameamua kuachana na Chaki na Kuamua kushika Microphone mwanzo mwisho.
Mwimbaji maarufu wa nyimbo za injili Jesca Honore akitumbuiza .
Amani kapama akiburudisha FOF Exposee
Lawrence aki Exposee Usiku huo.
Wadau wa FOF wakifurahia jambo.
Duu Blogger Daniel akiwa kati na waandaaji wa FOF
Mdau maarufu wa FOF Mwl Mathew Mndeme akiwa na Bloggers
Huyu ni Mc Pilipili (Comedian maarufu hapa Mujini ) akiburudisha- Hapa utacheka mpaka mbavu ziume.
Mc maarufu Papa Sebene aka Blogger Sam Sasali akimhoji King Chavala " Comedian maarufu "
Du kuwafanya watu wacheke ni kazi , cheki Mc Pilipili alivyotoa macho, huyu bwana anatisha waweza mtembelea pia kwenye blog yake
http://www.mcpilipili.blogspot.com
Exposee si chini ya Tano Zimefanyika , kama Ifuatavyo.
1. Mwanamuziki Jesca Honore ametangaza kuwa atazindua albam yake yenye jina la "Nimevunja Ukimya" Katika Ukumbi wa Serena Hoteli Katikati Ya Jiji la Dar-es-Salaam. Wakati huo huo Mwanadada huyo pia ali Xposee hadharani kuwa Mwaka huu mwezi wa tano atakuwa akifunga pingu za Maisha na Mtangazaji maarufu wa Channel Ten Boniface Magupa.
2. Mc Maarufu katika Jiji la Dar-es-Salaam Lawrance Mwantimwa ametangaza rasmi kufunga pingu za maisha na Mtoto wa Mchungaji Miss Wema lakini sio Sepetu, mapema mwezi wa April. Aki exposee Usiku wa Leo alieleza kuwa wamekuwa marafiki tangu mwaka 2001.
3. Kundi Maarufu la Glorious Celebration wame Exposee Usiku wa leo na kusema tarehe 24 February, 2013 wanatazamia kusheherekea miaka 2 tangu kundi hilo maarufu lizinduliwe rasmi katika Jiji la Dar. Mratibu wa Anniversary hiyo ya Glorious Mr. Prosper Mwakitalima ali exposee kuwa event hiyo itafanyika katika Kanisa la VCCT mbezi beach Kawe.
4. Mwenyekiti wa Friends On Friday Jijini Dar-es-Salaam, Papaa Ze Blogger ame Xposee usiku wa leo kwa kueleza anatazamia kuzindua kipindi kipya cha Tv katika Clouds Tv. Kipindi hicho cha Gospel Music and News kinatazamiwa kuanza rasmi mwezi huu wa pili.
5. Comedian Maarufu kama Mc Pilipili ame Xposee Usiku wa leo kuwa ameamua kuacha kazi ya Ualimu na Kuingia kwenye Comedian full time. Mc Pilipili alieleza kuwa ameamua kuachana na Chaki na Kuamua kushika Microphone mwanzo mwisho.
Mwimbaji maarufu wa nyimbo za injili Jesca Honore akitumbuiza .
Amani kapama akiburudisha FOF Exposee
Lawrence aki Exposee Usiku huo.
Sehemu ya umati uliohudhuria usiku wa FOF. |
Duu Blogger Daniel akiwa kati na waandaaji wa FOF
Mdau maarufu wa FOF Mwl Mathew Mndeme akiwa na Bloggers
Huyu ni Mc Pilipili (Comedian maarufu hapa Mujini ) akiburudisha- Hapa utacheka mpaka mbavu ziume.
Mc maarufu Papa Sebene aka Blogger Sam Sasali akimhoji King Chavala " Comedian maarufu "
Kundi Maarufu la Glorious Celebration likitumbuiza FoF Exposee. |
Du kuwafanya watu wacheke ni kazi , cheki Mc Pilipili alivyotoa macho, huyu bwana anatisha waweza mtembelea pia kwenye blog yake
http://www.mcpilipili.blogspot.com
Post a Comment