Social Icons

Loading...

Sababu za upungufu wa mbegu za kiume.


Utafiti uliofanywa mwaka 1940 ulionyesha kuwa asilimia 50 ya nguvu za kiume hushuka kutokana na kiwango kikubwa cha unywaji wa uvutaji wa sigara, pombe pamoja na mabadiliko ya mazingira.Pia uvutaji wa sigara 20 kwa siku na ulaji wa chipsi, baga, soseji inachangia kwa asilimia 43 kuharibu nguvu za kiume.
 HALI ya maisha pamoja na mazingira husika yanayomzunguka binadamu imeelezwa kuwa ni chanzo cha kushuka kwa nguvu za kiume.
Madaktari  wengi wameripoti juu ya kuwepo kwa ongezeko la wagonjwa wengi wa kiume ambao wamekuwa wakilalamikia juu ya upungufu wa nguvu za kiume.
Mwaka jana mwishoni  gazeti la The Independent llilopo nchini Uingereza  liliripoti kuwa hali ya afya ya viungo vya uzazi hususani kwa wanaume ilishuka kwa kiwango kikubwa na hiyo ilitokana na utafiti uliofanywa duniani juu ya ubora wa mbegu za kiume.

Utafiti huo ulionyesha kuwa katika miaka ya 1989 hadi 2005  ulionyesha kuwa kati ya wanaume 26,000 waliofanyiwa uchunguzi robo tatu yake walionekana kuwa na uwezekano mkubwa wa kushindwa kuzaa.
Soma  zaidi  http://www.mwananchi.co.tz/habari/-/1597578/1662328/-/vk5njw/-/index.html

author

This post was written by: Author Name

Your description comes here!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

CodeNirvana
© Copyright Daniel Blog in Contemporary News
Back To Top