Social Icons

Loading...

STARS Yaiadhibu CHIPOLOPOLO 1- 0


Timu  ya  Taifa   ya  Tanzania   maarufu  kama Taifa Stars imeifunga timu  ya  taifa  la  Zambia  ambayo  ni  mabingwa  wa  Afrika  kwa  bao 1-0 katika  mchezo  wa  kirafiki ,  goli  hilo  pekee  lililopatikana dakika ya 45 ya mchezo. Bao hilo limefungwa na Mrisho Ngassa, kwa shuti la mbali akimalizia pasi ya  kiungo mchezeshaji  Mwinyi Kazimoto.

Vikosi  : 
Stars-Juma Kaseja, Erasto Nyoni, Shomari Kapombe, Aggrey Morris, Kelvin Nyondani,Frank Domayo,Amir Kiemba,Salum Abubakar,Mrisho Ngassa,Mwinyi Kazimoto, Hamis Mcha/Simon Msuva. 

Zambia- Danny Munyao, Chintui Kapamba,Hichani Himonde,Chisamba Lungu,Jame Chamanga/Shadrack
Malambo,Christopher Katondo/Stoppila Sunzu,Felix Katongo,Nathan Sinkala/Evans Kangwa,Roderick Kabwe/Francis Kasonde na Issac Chansa.


Pata  picha   zaidi    katika  pambano  hilo:





 
author

This post was written by: Author Name

Your description comes here!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

CodeNirvana
© Copyright Daniel Blog in Contemporary News
Back To Top