Social Icons

Loading...

Ulinzi mkali watanda kesi ya Ponda.

Ulinzi wa aina yake uliwekwa katika mahakama ya Hakimu Mkazi, Kisutu Dar es Salaam jana wakati Katibu  wa  Jumuiya na Taasisi za  Kiislamu Tanzania, Sheikh, Ponda Issa Ponda alipofikishwa mahakamani hapo na watu wengine 49.Ponda na wafuasi wake walifikishwa mahakamani hapo kusikiliza kesi inayowakabili ,wakidaiwa  kufanya vurugu na kuharibu mali.Hata hivyo, wakati wafuasi hao wakiachiwa kwa dhamana, Mahakama hiyo ilisema kuwa haina mamlaka ya kisheria ya kutoa dhamana kwa Sheikh Ponda anayetuhumiwa kuchochea vurugu hizo.
 Askari Magereza akimfunga pingu Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Tanzania, Sheikh, Ponda Issa Ponda baada ya kuarishwa kwa kesi yake katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam jana.

Farasi  nao  walikuwepo  kusaidia  ulinzi  dhidi  ya  wafuasi  wa   Sheikh  Ponda
 Mbwa   maalumu wa  kutuliza  ghasia  na  kunusa  mabomu nao    walikuwepo.
 Kikosi  maalumu  cha  askari  magereza
 Baadhi ya ndugu na jamaa wa washitakiwa wakiingia huku wakisachiwa mlangoni
 Mmoja  wa  mahabusu  akibebwa  baada  ya  kuanguka  kortini.
 Duuu  , Hapa  ni  fanya  Fujo  uone.
 Hapa  adui  hachomoki....
 Doria  ilikuwa  kali
 Ponda  na  wenzake   wakisindikizwa  na  askari   magereza  .
author

This post was written by: Author Name

Your description comes here!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

CodeNirvana
© Copyright Daniel Blog in Contemporary News
Back To Top