
Kwa ujumla
Serengeti walipigana katika mchezo wa leo, kwani wapinzani wao walionekana kuwa
bora na wenye uzoefu zaidi yao.
Bao hilo
lilifungwa kwa shuti la mpira wa adhabu na beki Mudathir Yahya Abbas kutoka
umbali wa mita 22 na mpira kabla ya kutinga nyavuni ulimbabatiza beki mmoja wa
Kongo na kumpoteza njia kipa Ombandza Mpea Joe na kujaa
nyavuni.
Tanzania; Peter Manyika Peter, Miza Kriston Abdallah, Mohamed
Hussein Mohamed, Ismail Adam Gambo, Miraj Adam Suleiman, Mudathir Yahya Abbas,
Mohamed Salum Haroub, Joseph Kimwaga Lubasha/Dickson Isaac Ambundo, Hussein
Twaha Ibrahim, Suleiman Hamisi Bofu/Tumaini Baraka Mosha na Farid Mussa
Shah.
Kongo
Brazzaville; Ombandza
Mpea Joe, Tmouele Ngampio, Mabiala Gharlevy, Okimbi Francis, Ondongo Boungena,
Ibra Vinny/Issambey Lonvreve, Binguila Handy, Obassi Ngatsongo, Mohendiki Brel,
Atoni Mavoungou na Biassadila Arei.
Post a Comment