YAFUATAYO NI MANENO 25 YALIYOTUMIKA KAMA PASSWORD NA WATU WENGI KWA MWAKA 2012 KWA MUJIBU WA WADADISI WA YAHOO.
1. password
2, 123456
3. 12345678
4. abc123
5. qwerty
6. monkey
7. letmein
8. dragon
9. 111111
10. baseball
11. iloveyou
12. trustno1
13. 1234567
14. sunshine
15. master
16. 123123
17. welcome
18. shadow
19. ashley
20. football
21. jesus
22. michael
23. ninja
24. mustang
25. password1
2, 123456
3. 12345678
4. abc123
5. qwerty
6. monkey
7. letmein
8. dragon
9. 111111
10. baseball
11. iloveyou
12. trustno1
13. 1234567
14. sunshine
15. master
16. 123123
17. welcome
18. shadow
19. ashley
20. football
21. jesus
22. michael
23. ninja
24. mustang
25. password1
Je wataka kuwa na Password isiyofojika?
Hapa kuna vidokezo:
- Tumia herufi ya kwanza kwa kila neno la shairi au mstari kutoka
katika wimbo. Kwa Mfano, "Hey, I just met you... And this is crazy...
But here's my number... So call me maybe" herufi za mwanzo ni
"hijmyaticbhmnscmm." Of course, itakupasa kuimba kichwani kila mara
unapotaka ku-log in.
- Changanya maneno mawili, mfano "hungrydog" au "choppywater." au changanya herufi kubwa na ndogo au special characters kama @, % au & ili
kuweka usalama zaidi, tenganisha maneno hayo kwa kuweka alama au namba
au kiwakilishi chochote kwenye keyboard ya komputa yako. Hivyo badala ya
kuandika "hungrydog," tumia "hungry$d0g." Ni mifano tu mengine fanya
ubunifu ila kumbuka kuweka kumbukumbu kichwani mwako.
...More passwd Tips
...More passwd Tips
Protect your password:
- Memorize your password, do not write it down
- Do not share your password. Create a new account instead
- Avoid using one password for all your logins
- Don't provide your password to someone for assistance unless you verify:
- They need the password
- They are who they say they are
- Avoid logging in from public computers
- Change your password frequently
Tips for choosing a password:
- Avoid dictionary words
- Avoid familiar items (names, phone numbers, etc.)
- Use a combination of letters, numbers, and special characters
- Use more characters (7+)
Post a Comment