Social Icons

Loading...

Yanga 1 Simba 1

Miamba  ya  Soka  nchini  Tanzania   Simba   na  Yanga   jana  zilitoshana  nguvu  katika  mchezo    wa   ligi kuu  ya  Tanzania   maarufu  kama  Vodacom Premier  league, mchezo huo  ulikosa  msisimko  na  kujawa na  rafu  za  hapa  na  pale  kiasi  cha  mchezaji  mmoja  wa  Yanga  kupewa  kadi  nyekundu  kipindi  cha  pili , goli  la  simba  lilipatikana  mapema    dakika ya  tatu kipindi  cha  kwanza    kupitia  kwa   Amri  Kiemba,  Mchezaji Said  Bahanunzi  ambaye kwa hakika alikuwa katika  kiwango   bora( man  of  the  match)  aliisawazishia  Yanga  kwa  mkwaju  wa  penalti  kipindi  cha pili.




author

This post was written by: Author Name

Your description comes here!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

CodeNirvana
© Copyright Daniel Blog in Contemporary News
Back To Top