|
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Umoja wa Wanawake
Tanzania, Sophia Simba akishangilia ndani ya Ukumbi wa Chuo cha Mipango
kwenye mkutano mkuu wa 8 wa umoja huo taifa uliofanyika jana, mjini
Dodoma |
WAZIRI wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto, Sophia Simba
ameendeleza ubabe wake dhidi ya hasimu wake kisiasa, Anne Kilango baada
ya kumbwaga kwa idadi kubwa ya kura katika uchaguzi wa Umoja wa Wanawake
wa CCM (UWT).
Hii ni mara ya pili kwa Simba kumshinda Kilango
katika kuwania nafasi ya uenyekiti wa UWT, mara ya kwanza ilikuwa mwaka
2008, ambapo Simba aliibuka mshindi.
This post was written by: Author Name
Your description comes here!
Get Free Email Updates to your Inbox!
on Sunday, October 21, 2012
Post a Comment