Social Icons

Loading...

Sophia Simba amliza Kilango UWT

Mwenyekiti wa Jumuiya ya Umoja wa Wanawake Tanzania, Sophia Simba akishangilia ndani ya Ukumbi wa Chuo cha Mipango kwenye mkutano mkuu wa 8 wa umoja huo taifa uliofanyika jana, mjini Dodoma
WAZIRI wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto, Sophia Simba ameendeleza ubabe wake dhidi ya hasimu wake kisiasa, Anne Kilango baada ya kumbwaga kwa idadi kubwa ya kura katika uchaguzi wa Umoja wa Wanawake wa CCM (UWT).
Hii ni mara ya pili kwa Simba kumshinda Kilango katika kuwania nafasi ya uenyekiti wa UWT, mara ya kwanza ilikuwa mwaka 2008, ambapo Simba aliibuka mshindi.
author

This post was written by: Author Name

Your description comes here!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

CodeNirvana
© Copyright Daniel Blog in Contemporary News
Back To Top