Polisi wamefunga barabara ya hapa Posta Mpya katikati ya Jiji la Dar es Salaam , na daladala zinageuza hazitumii tena kituo cha kawaida.Hali inaonekana si shwari, wanajeshi wametanda! kariakoo nako hali ni tete, pia Mabomu yanasikika kutoka msikiti wa Mtambani Kinondoni. Barabara ya
Kawawa kupitia Kinondoni Imefungwa kwa Muda Vijana wa Kamanda Kova
wanarusha mabomu huku wengine wako juu wanazunguka.
Eneo la posta stand kukiwa na doria kuzuia ofisi za jeshi la Polisi makao makuu kuvamiwa na waandamanaji.
Magari si mengi na hali ni ya wasiwasi kiasi.
Hali ya Barabara , utadhani ni jumapili , hakuna kabisa mpishano uliozoeleka.
Hapa ni Haedery Plaza, kiasi watu hapa ni wengi na
Kariakoo nako hali ilikuwa hivi...
Post a Comment