Social Icons

Loading...

Dar City Centre Mchana wa LEO.

Polisi wamefunga barabara ya hapa Posta Mpya  katikati  ya  Jiji  la  Dar  es  Salaam , na daladala zinageuza hazitumii tena kituo cha kawaida.Hali inaonekana si shwari, wanajeshi wametanda!  kariakoo  nako  hali   ni  tete,  pia  Mabomu yanasikika kutoka msikiti wa Mtambani Kinondoni. Barabara ya Kawawa kupitia Kinondoni Imefungwa kwa Muda Vijana wa Kamanda Kova wanarusha mabomu huku wengine wako juu wanazunguka.

   Eneo   la    posta    stand  kukiwa  na  doria  kuzuia   ofisi  za    jeshi  la  Polisi   makao  makuu  kuvamiwa  na  waandamanaji.
   Magari  si  mengi   na  hali  ni  ya  wasiwasi   kiasi.
   Hali  ya  Barabara   ,  utadhani  ni  jumapili   , hakuna  kabisa  mpishano  uliozoeleka.

 Hapa   ni    Haedery  Plaza, kiasi  watu  hapa  ni  wengi  na   



Kariakoo  nako   hali  ilikuwa  hivi...



author

This post was written by: Author Name

Your description comes here!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

CodeNirvana
© Copyright Daniel Blog in Contemporary News
Back To Top