Social Icons

Loading...

Dk Kitima aitabiria mabaya CCM mbele ya Wassira

Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Mtakatifu Agustino, Dk Charles Kitima amekitabiria kifo Chama Cha Mapinduzi kama kitaendelea na mtindo wa kuwanyima fursa wazawa katika maendeleo.
Akizungumza katika kongamano la kujadili amani na maendeleo na mpango wa miaka mitano wa kukuza uchumi na kuondoa umaskini nchini lililofanyika chuoni hapo jijini Mwanza, Dk Kitima alisema nchi haiwezi kufikia dira ya maendeleo ikiwa Serikali imeshindwa kutoa kipaumbele katika utawala mzuri wa rasilimali na wazawa“CCM isipojirekebisha itakufa mapema kama isipoipa kipaumbele sekta binafsi ya wazawa katika kusimamia rasilimali ya nchi.Tunataka rasilimali za nchi tusimamie wenyewe,” alisema Charles Kitima.Akizungumza mbele ya Waziri wa Nchi katika Ofisi ya Rais, Uhusiano na Urtatibu, Steven Wassira aliyekuwa mgeni rasmi, aliongeza kuwa nchi itaendelea kwa kuwapa fursa wananchi wake.
author

This post was written by: Author Name

Your description comes here!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

CodeNirvana
© Copyright Daniel Blog in Contemporary News
Back To Top