|
Simba SC waendeleza drooo.(Kibonzo kwa Hisani ya Marco Tibasima) |
Baada ya wiki iliyopita kushikwa shati na kagera sugar katika uwanja wa Taifa, jana tena imeendeleza droo na timu ya Mgambo JKT huko Mkwakwani Tanga. Washambuliaji wake nguli na wa bei ghali wameambulia patupu kwa timu hiyo mpya. Droo hii inakuwa ya nne tangu kuanza ligi, ingawa bado timu hiyo inaongoza kwa pointi 19 ila tofauti kati yao na watani wao Yanga imepungua kuwa pointi 2. Ushindi wa mechi za kwanza je! Ulikuwa ni nguvu ya soda? au timu zilikuwa hazijaamka?
This post was written by: Author Name
Your description comes here!
Get Free Email Updates to your Inbox!
on Monday, October 22, 2012
Post a Comment