Social Icons

Loading...

Nyama na Samaki Choma ya FOF ndani ya Makumbusho yafana sana..

Jioni Ya   tarehe 03  August 2012 kama Kawaida  Friends of  Friday ( FoF)   event  ilikuwa ikifanya Mambo yake Katika Viwanja Vya Makumbusho  Kijitonyama ambapo jana ilikuwa ni FoF Nyama  na  Samaki  Choma.
Kama Kawaida Jahazi La Event liliongozwa na Mc Luvanda na Mc Pilipili mambo yalikwenda Sawa kabisa,  Samaki  Nyama ziliagizwa na Kuliwa mpaka Take Away ilibebwa.
Dr. Mtarajiwa Chris Mauki alimwaga nondo nzito za namna ya Kuachana ambapo talk hiyo iliteka nafsi za Watu sana kwa kuongelea changamoto nyingi za maisha  katika  mahusiano.
 Mc Pilipili kama Kawaida Segment ya Comedy jana Ilikuwa ya Tofauti baada ya kuja Kinyama Choma Nyama Choma.
                                Clarito na Renee  wakipata starter  ya  Mishikaki
                                     

Mikonozzzz  nayo  ilikuwa ni  sehemu  ya   event  hiyo  , wadau   2 Bloggerz, Protace   wakishow  love.   
                                Ma-  Chef  wa  ukweli  wakiwa  kazini  ..
                                              Ze  blogger  akipata  starter  ya  mishikaki
 Raha  ya  Samaki  choma, kula  kwa  pozi na  hakikisha mnofu  unakaa  kinywani  kama  dakika hivi ...  kisha tafuna  na  meza ,duuu   tamuuuu....
                                 Kwaito  baada  ya starter  ya  mishikaki  ...  na  samaki  choma
                                Wadau  wakifuatilia  event .
                                  Hapa samaki  wakiandaliwa.
author

This post was written by: Author Name

Your description comes here!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

CodeNirvana
© Copyright Daniel Blog in Contemporary News
Back To Top