Social Icons

Loading...

Kisiwa Cha Saanane- Hifadhi Ya Taifa Tarajiwa



Kisiwa  cha  Saanane  kipo   katika Ziwa Victoria  ,  umbali wa nusu kilometa toka Mwanza  mjini   ni hifadhi iliyoanzishwa   1964  kilipewa  jina  hilo   kwa kumbukumbu  ya  Mzee  Saanane  Chawandi  ambaye  alikuwa    mkaaji  katika  kisiwa  hicho  na  familia yake , mnamo  mwaka  1962 alihamishiwa   kwa  kupewa  Tsh 600  na  serikali     ya  Tanzania   kupitia  Wizara  ya  Maliasili  na  Utalii   na  kuhamishiwa  kisiwa cha    Gabalema   Mkoani   Mwanza , Kisiwa  hiki  kina  vivutio  vingi  vya  kiutalii .
 Kwa  mawasiliano  zaidi  ukita  kutembelea :
P .o.   Box  11775
Mwanza
Simu ya  mezani:  0282541819
Simu  ya  kiganjani: 0689062276 


                                                   Muonekano  wa  Kisiwa  cha  Sanane
                                                      Wanyama   wakipata  malisho
  Hapa   Swala    wakipata    malisho, inasemekana  swala  life  span  yao  ni  miezi  12  tu  , na  pia  mara  tu  azaliwapo  mtoto  swala  baada  ya  dakika 3  anakuwa  na  uwezo  wa  kukimbia  na  kula  majani
                            Specimen  ya  samaki    aina  ya  SATO



Blogger   akiwa  ofisi  za   hifadhi  ya  Taifa  tarajiwa  ya  Saanane .


Duuuu   usafiri  wa  kwenda   hifadhi  ya  Saanane    unahitaji  kupiga  moyo  konde  kupanda   kama  si  jasiri  kama  Bloggers (  nguli  wa  kuogelea ) ambaye    sema  tu  hajapata  nafasi  ya  kuiwakilisha  TZ  kwenye  olimpiki  ,  safari  ya  kutoka    kisiwani     ikiwa  inayoyoma !!!
author

This post was written by: Author Name

Your description comes here!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

CodeNirvana
© Copyright Daniel Blog in Contemporary News
Back To Top