Social Icons

Loading...

Bujora Makumbusho ya Mila za Wasukuma


 Kituo  cha  utamaduni  cha  BUJORA   kilianzishwa  na  mwaka   1968  na  marehemu  Fr  David Clement   Fumbuka, Kituo  hiki  kipo   kilometa  20  kutoka    Mwanza  mjini. 
       Picha  hii  ni  ya  Mkurugenzi  mtendaji  wa  makumbusho  hayo  ya  mila  za  wasukuma  Fr: Fabian Mhoja

            Ofisa   utawala   wa kituo  cha  utamaduni  cha Bujora  Ndg:   Madata   Ndelule Charles 

Nyumba  ya  asili  ambayo   humo  ndani  utakuta    vifaa  vya nyumbani kama  vijiko , sahani , ambavyo   vimetengenezwa  kwa  miti  na  udongo.
    Sehemu  ambayo  kwa  mujibu  wa  mila ilikuwa  ni  soko  la  kutafuta  mwanamke  wa  kuoa, mabinti  walikuwa  wana  saga nafaka  juu  ya  mawe  haya na  aliye  hodari  kwa  kusaga ndiye  alikuwa  anapata  mchumba   wa  kumwoa-  Duu  Zamani  si  kama  siku  hizi.



Duu  Blogger   naye  kama  kawa    kama  dawa  akicheza na  snake   ama  kweli  jasiri   haachi  asili
Ramani   ionyeshayo   Falme  za  kisukuma
author

This post was written by: Author Name

Your description comes here!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

CodeNirvana
© Copyright Daniel Blog in Contemporary News
Back To Top