Social Icons

Loading...

ZOEZI LA MAJINA KWENYE MAGARI LAANZA

Kuanzia mwaka mpya wa fedha (2012/13) Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imeanza kusajili magari kwa kutumia majina ikiwa ni nyongeza ya kutumia namba kama ilivyokuwa imezoeleka na wengi. Pichani ni    miongoni mwa  magari ya kwanza kupewa usajili huo wa kutumia jina la mmiliki wake.


Blogger  naye  hayuko  nyuma , mkoko  wake  ulishawekewa SPECIAL  number, WAHI  MDAU.....kabla   bei  haijapanda...  



author

This post was written by: Author Name

Your description comes here!

Get Free Email Updates to your Inbox!

1 comments:

Blogger anatisha, sasa hiyo 10 maana yake ni nini? Kuna Daniel 10 wamesha sajili au ni mbwembwe tu, pia inawezekana kukawa na usajili wa majina mawili tofauti kama ilivyo DELINA 1 mbele na DANIEL 10 Nyuma? Wadau nisaidieni nata kusajili Vitz yangu!

Reply

Post a Comment

CodeNirvana
© Copyright Daniel Blog in Contemporary News
Back To Top