Event ya Business Dinner ilifanyika jana katika ukumbi wa Hotel ya Mayfair , Mikocheni jijini Dar, iliandaliwa mahususi kuwakutanisha wajasiriamali wa kati na wakubwa kwa lengo la kubadirishana mawazo na kujifunza mbinu mpya na fursa za Ujasiriamali nchini Tanzania na hatimaye nje ya nchi.
Mr. Frank Isaack Chikome akifungua forum hii ya wajasiriamali katika ukumbi wa mikutano uliopo Mayfair HOTEL na kisha kuanza na somo la kwanza.
Mtaalamu wa mambo ya Biashara na fedha Ndg: Paschal Kasela akitoa shule ya namna ya kuwa na uwezo kuajiri watu kuanzia 500 katika segment ya "Big Business". kwa mbali kwenye screen ni Model ( E, B, S, I ) ya R.Kiyosaki mwandishi na mtunzi mahiri wa vitabu vya ujasiriamali Duniani.
Ndugu Alphonce Chilato akitoa ushuhuda wa maisha yake kuanzia alipoanza kazi kama afisa bandarini Dar kisha akahamishiwa Zanzibar,akiwa visiwani aliamua kujikita na bishara zaidi na imempa mafanikio makubwa sana siri ya mafanikio yake ni Business Model ya Network Marketing.
Kasele akigawa DOZI ya BIG BUSINESS
Blogger naye akifuatilia kwa umakini .
Sehemu ya washiriki
Hakika watu walikuwa makini, Blogger Damas kama kawa ndani ya nyumba.
Kasele akitoa somo
Mr. Frank Isaack Chikome akifungua forum hii ya wajasiriamali katika ukumbi wa mikutano uliopo Mayfair HOTEL na kisha kuanza na somo la kwanza.
Mtaalamu wa mambo ya Biashara na fedha Ndg: Paschal Kasela akitoa shule ya namna ya kuwa na uwezo kuajiri watu kuanzia 500 katika segment ya "Big Business". kwa mbali kwenye screen ni Model ( E, B, S, I ) ya R.Kiyosaki mwandishi na mtunzi mahiri wa vitabu vya ujasiriamali Duniani.
Ndugu Alphonce Chilato akitoa ushuhuda wa maisha yake kuanzia alipoanza kazi kama afisa bandarini Dar kisha akahamishiwa Zanzibar,akiwa visiwani aliamua kujikita na bishara zaidi na imempa mafanikio makubwa sana siri ya mafanikio yake ni Business Model ya Network Marketing.
Kasele akigawa DOZI ya BIG BUSINESS
Blogger naye akifuatilia kwa umakini .
Sehemu ya washiriki
Hakika watu walikuwa makini, Blogger Damas kama kawa ndani ya nyumba.
Kasele akitoa somo




Post a Comment