Rais wa Chama cha Madaktari Tanzania (MAT), Dk. Namala Mkopi, akizungumza jambo na Mwanasheria ambaye pia ni wakili wake, Kikondo Maulidi (kushoto), baada ya kuachiwa kwa dhamana, katika katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam jana, alipofikishwa kwa ajili ya kusomewa shitaka la kutokutii amri halali ya Mahakama Kuu, iliyomtaka kuwatangazia wanachama wa chama hicho kupitia vyombo vya habari, kusitisha mgomo wao.
Loading...
Rais wa Madaktari Tanzania afikishwa kortini kwa kutokutii amri ya mahakama
Rais wa Chama cha Madaktari Tanzania (MAT), Dk. Namala Mkopi, akizungumza jambo na Mwanasheria ambaye pia ni wakili wake, Kikondo Maulidi (kushoto), baada ya kuachiwa kwa dhamana, katika katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam jana, alipofikishwa kwa ajili ya kusomewa shitaka la kutokutii amri halali ya Mahakama Kuu, iliyomtaka kuwatangazia wanachama wa chama hicho kupitia vyombo vya habari, kusitisha mgomo wao.
Post a Comment