Serikali ya Uingereza inasema ni kweli
wanajeshi wake waliokuwa nchini Kenya kipindi cha ukoloni miaka ya
hamsini na sitini waliwatesa na kukiuka haki za wapiganaji wa uhuru
waliofahamika kama Mau Mau.
Wazee watatu wanawaakilishi mamia ya wapiganiaji wa uhuru nchini Kenya ambao bado hai katika kesi wanayoishtaki serikali ya Uingereza kwa mateso waliyoyapata kipindi wakitaka kujitawala.
Mawakili wa wazee hao wamesema kuwa serikali ya Uingereza imetambua kesi hiyo,licha ya kusema kuwa miaka nyingi imepita kwa haki kupatikana kwa wapiganiaji hao wa Uhuru .
Source www.wavuti.com
Wazee watatu wanawaakilishi mamia ya wapiganiaji wa uhuru nchini Kenya ambao bado hai katika kesi wanayoishtaki serikali ya Uingereza kwa mateso waliyoyapata kipindi wakitaka kujitawala.
Mawakili wa wazee hao wamesema kuwa serikali ya Uingereza imetambua kesi hiyo,licha ya kusema kuwa miaka nyingi imepita kwa haki kupatikana kwa wapiganiaji hao wa Uhuru .
Source www.wavuti.com
Post a Comment