Social Icons

Loading...

Hatimaye Serikali Ya Uingereza Yakubali Kesi Ya Wapigania Uhuru Wa Kenya "Mau Mau"

Serikali ya Uingereza inasema ni kweli wanajeshi wake waliokuwa nchini Kenya kipindi cha ukoloni miaka ya hamsini na sitini waliwatesa na kukiuka haki za wapiganaji wa uhuru  waliofahamika kama Mau Mau.
Wazee watatu wanawaakilishi mamia ya wapiganiaji wa uhuru nchini Kenya ambao bado hai katika kesi wanayoishtaki serikali ya Uingereza kwa mateso waliyoyapata kipindi wakitaka kujitawala.
Mawakili wa wazee hao wamesema kuwa serikali ya Uingereza imetambua kesi hiyo,licha ya kusema kuwa miaka nyingi imepita kwa haki kupatikana kwa wapiganiaji hao wa Uhuru .

 Source  www.wavuti.com
author

This post was written by: Author Name

Your description comes here!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

CodeNirvana
© Copyright Daniel Blog in Contemporary News
Back To Top