Social Icons

Loading...

JK Asema Sijamwuzia Kigamboni Rais Bush

 Rais  Dkt Kikwete  jana    aliweka jiwe la msingi katika   mradi  wa  ujenzi  wa  Daraja  la  Kigamboni    unaofadhiliwa   kwa pamoja kati  ya  serikali  ya  Tanzania     na  mfuko wa hifadhi ya Taifa   NSSF , akiweka  jiwe la  msingi   Rais  alikanusha  tuhuma za  kumwuzia  Rais  wa  zamani wa Marekani   G . Bush   eneo la  Kigamboni   na  akiziita  tuhuma  hizo  kuwa ni  mbinu   chafu  za  kisiasa, pichani   
Waziri wa Ujenzi Dkt.John Pombe Magufuli akimpa maelezo Raid Dtk.Jakaya Mrisho Kikwete juu ya Ujenzi wa Daraja la Kigamboni wakati wa hafla ya uzinduzi wa ujenzi wa Daraja hilo ulofanyika Kurasini jijini Dar ea Salaam



Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akisisitiza jambo wakati akiongea na Waziri wa Ujenzi Dkt.John Pombe Magufuli wakati wa hafla ya uzinduzi wa Ujenzi wa Daraja la Kigamboni uliofanyika huko Kurasini jijini Dar es Salaam  jana chana.Kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Said Mecky Sadik 

Meneja  mradi wa daraja  la  Kigamboni  Eng: Karim Mataka akimwonyesha  Rais  picha  ya  daraja  linalojengwa  kwa  ushirikianao na  Serikali  ya  Tanzania   na  mfuko  wa  hifadhi  ya  taifa wa  NSSF

author

This post was written by: Author Name

Your description comes here!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

CodeNirvana
© Copyright Daniel Blog in Contemporary News
Back To Top