Social Icons

Loading...

Brands Kocha Mpya Yanga

Baada  ya  kusitisha  mkataba na  Kocha Tom Saintfiet   klabu  bingwa  ya  soka ukanda  wa  afrika  mashariki  na  kati  Yanga   imesaini  mkataba  wa  mwaka  mmoja na Ernstus Brands  kwa ajili ya kuiona klabu ya Yanga, pichani kushoto ni makamu Mwenyekiti wa Yanga Clement Sanga   akiwa  na  kocha    huyo, kocha huyo alikuwa akiifundisha APR ya Rwanda.
author

This post was written by: Author Name

Your description comes here!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

CodeNirvana
© Copyright Daniel Blog in Contemporary News
Back To Top