Social Icons

Loading...

Wabunge wa Simba wawachapa kwa penalti 3-2 wa Yanga, Uwanja wa Taifa

Hivi ndivyo hali ilivyokuwa katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam katika mtanange wa watani wa jadi Simba na Yanga (Wabunge) wakati wa TAMASHA LA MATUMAINI ambapo wabunge wapenzi wa timu ya Simba wameibuka kidedea kwa penalti 3-2. Simba wamefunga penalti 3 wakati Yanga wakifunga 2.


 Nahodha wa timu ya Wabunge wa Simba, Amosi Makalla (wa pili kushoto) akiwa katika picha ya pamoja na nadhodha wa Yanga pamoja na waamuzi wa mchezo huo.

Katibu wa Itikadi na Uenezi (CCM), Nape Nnauye akisalimiana na mshambuliaji wa timu ya Wabunge wa Simba, Joshua Nassari kabla ya pambano lao jana, Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. 
author

This post was written by: Author Name

Your description comes here!

Get Free Email Updates to your Inbox!

1 comments:

inapendeza kuona mahasimu wa kisiasa wakitabasamu pamoja..

Reply

Post a Comment

CodeNirvana
© Copyright Daniel Blog in Contemporary News
Back To Top