Social Icons

Loading...

Mkutano wa 21 wa wafanyakazi UCC LTD wafanyika






Ag Managing Director  wa UCC  Ltd  Dkt Respikius Casmir (kati  kati ) akiendesha kikao  hicho, kushoto kwake  ni   Meneja  Rasilimali watu na  utawala Ndg Obeid  Mwangwa, pembeni  kulia ni Mnadhimu mkuu wa uhasibu  na fedha Ndg:Asante Benard.

Kampuni  ya  UCC  leo  imefanya  kikao  cha  21 cha  wafanyakazi  wote , mkutano  umefanyika  katika ukumbi wa  Nyerere Theater One - UDSM.


Sehemu  ya  umati wa  wafanyakazi  ukifuatilia  kikao  hicho kwa  umakini.   

Aliyeketi  ni Mama  kipenzi  cha  wana  UCC,asiye  na  makuu ,mwingi  wa  upendo   Mrs Calista Duwe -  SPO   akiweka  makabrasha ya  kikao  vizuri, waliosimama toka kushoto ni Nongwa, Blogger ,Shomary na Bashosho.   


 Kazi  na  dawa, kinywaji  nacho  kilikuwa  sehemu  ya  mkutano  ili  kulainisha makoo, wadau  wa  mkutano  wakifuatlia  ajenda    moja  baada  ya  nyingine,
Sehemu  ya  umati wa  wafanyakazi   ukifuatlilia kikao.



 Sehemu  ya  umati  huu ukisikiza   mengineyo  mkutanoni.

Duu  vinywaji  Jaloo, baada  ya  kikao  vimebaki , shoo hii  ya  refreshment ilisimamiwa  na wadau hao  watatu pichani, hongereni  sana kwa  kuhudumia mkutano.
 Ndg:  John Haule ( wapili toka kulia)  mkongwe  akifafanua jambo  kwa vijana   baada   ya  kikao , wengine   kutoka kulia  ni   Ndg: Gideon , Bigeni, Asante  na  Blogger  kwa  mbali   kama  vile  anataka  kurudi  ni Ms Rehema  Shao   nadhani  alikuwa  anaelekea  dirishani  kwa  Mzee  Kisabo.  
Duu   baada  ya  kikao  kama kawaida  ya vikao  ni  kusaini  dirishani  kwa Mzee  KISABO , wadau  wakiwa  katika  line kupokea    shekeli .
author

This post was written by: Author Name

Your description comes here!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

CodeNirvana
© Copyright Daniel Blog in Contemporary News
Back To Top