Filed Under:
technicals
on Thursday, March 20, 2014
Loading...
Home » Archives for March 2014
Hatimaye Man U yazinduka yaifuata Chelsea hatua ya nane bora UEFA CL.
Man u 3 Olympiakos 0
Chelsea 2 - Gala 0
habari zaidi fuatilia link hii
http://www1.skysports.com/football/live/match/306084/report
on
MSAMA AIPONGEZA BASATA KWA KUANZISHA MAFUNZO YA SANAA KWA WATOTO .
Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotions, Alex Msama akizungumza katika hafla ya kufunga mafunzo ya sanaa kwa watoto yaliyofanyika jijini Dar es Salaam. Mafunzo hayo yaliandaliwa na Basata na kudhaminiwa na Kampuni ya Msama Promotions. Kushoto ni Kaimu Katibu Mtendaji wa Basata, Godfrey Mngereza na Ofisa Tawala wa Kampuni ya Msama Promotions, Hamis Mussa. |
MKURUGENZI
wa Kampuni ya Msama Promotions ya jijini Dar es Salaam, Alex Msama
amepongeza hatua ya Baraza la Sanaa la Taifa (Basata), kuanzisha mafunzo
maalumu kwa watoto wa shule za msingi.
Akizungumza mwishoni mwa wiki wakati wa kufunga mafunzo maalumu
yanayolenga kuwajenga watoto katika fani ya sanaa na kushirikisha watoto wapatao 200 kutoka shule tano za wilaya ya Ilala, Msama alisema ni jambo zuri kuandaa vipaji vya kesho.
yanayolenga kuwajenga watoto katika fani ya sanaa na kushirikisha watoto wapatao 200 kutoka shule tano za wilaya ya Ilala, Msama alisema ni jambo zuri kuandaa vipaji vya kesho.
“Mafunzo
haya yataweza kuwajenga watoto wetu ambao ndio taifa la kesho, pia
kupunguza tatizo la watoto kujiingiza katika mambo mabaya kama matumizi
ya bangi, dawa za ulevya, hivyo kuwa mzigo na janga kwa taifa,” alisema
Msama.
Shule zilizonufaika na mafunzo hayo yaliyofadhiliwa na Msama kupitia
kampuni yake ya Msama Promotions, waratibu wa Matamasha ya Pasaka na Krismas, ni Buguruni Moto, Buguruni Visiwi, Ilala Boma, Uhuru Wasichana na Msimbazi.
kampuni yake ya Msama Promotions, waratibu wa Matamasha ya Pasaka na Krismas, ni Buguruni Moto, Buguruni Visiwi, Ilala Boma, Uhuru Wasichana na Msimbazi.
Aidha,
Msama alihimiza umuhimu wa somo la sanaa shuleni akitaka
lipewe msisitizo mkubwa katika kuandaa vijana bora ambao hata kama
wakifeli masomo mengine, wanaweza kuwa wasanii bora. “Somo hili la sanaa mashuleni lipewe uzito unaostaili kama masomo mengine kwa sababu, mtoto akifeli masomo mengine, fani ya sanaa yaweza kuwa msaada kwake,” alisema.
Msama aliwashauri pia Basata kuyapeleka mafunzo hayo hadi mikoani na
kupendekeza kwa hatua ya awali waanzie katika mikoa ya Pwani na Morogoro, akiamini kuna vipaji vingi vya sanaa.
kupendekeza kwa hatua ya awali waanzie katika mikoa ya Pwani na Morogoro, akiamini kuna vipaji vingi vya sanaa.
Naye
Kaimu Katibu Mtendaji wa Basata, Godfrey Mngereza alisema mafunzo hayo
yaliyoanza Machi 1, wanafunzi walikuwa wakifanya mazoezi ya sanaa
katika fani utambaji, hadithi, ngoma za asili na maigizo katika maeneo
ya shule zao chini ya usimamizi wa walimu wao na waratibu kutoka Basata.
Mngereza alimshukuru mgeni rasmi Msama kwa kudhamini mafunzo hayo
akisema amefanya hivyo kwa kutambua umuhimu wa elimu ya sanaa katika maisha ya kila siku.
akisema amefanya hivyo kwa kutambua umuhimu wa elimu ya sanaa katika maisha ya kila siku.
on
CCM YASHINDA UCHAGUZI JIMBO LA KALENGA
Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimeibuka
kidedea katika uchaguzi wa kumpata Mbunge wa jimbo la Kalenga, baada ya
kuzoa kura kwa asilimia 79.4 dhidi ya wapinzani wao Chadema waliopata
asilimia 20.1 na Chausta 0.51.
Kwa nafasi hiyo, Mgombea wa CCM Godfrey Mgimwa amekuwa Mbunge mpya akichukua nafasi ya Mbunge aliyefariki jimboni humo, Dr William Mgimwa.
Matokeo ya uchaguzi huo, yanatoa nafasi nyingine kwa CCM kuweka rekodi ya kushinda chaguzi ndogo za ubunge katika majimbo mbalimbali yaliyokuwa nyameachwa wazi.
Kwa mujibu wa matokeo hayo, CCM imeshinda kwa kura 22,943 dhidi ya kura 5,800 za Chadema huku chausta ikiambukia 143.
Kwa nafasi hiyo, Mgombea wa CCM Godfrey Mgimwa amekuwa Mbunge mpya akichukua nafasi ya Mbunge aliyefariki jimboni humo, Dr William Mgimwa.
Matokeo ya uchaguzi huo, yanatoa nafasi nyingine kwa CCM kuweka rekodi ya kushinda chaguzi ndogo za ubunge katika majimbo mbalimbali yaliyokuwa nyameachwa wazi.
Kwa mujibu wa matokeo hayo, CCM imeshinda kwa kura 22,943 dhidi ya kura 5,800 za Chadema huku chausta ikiambukia 143.
on Monday, March 17, 2014
EPL , Man U HOI kwa Liverpool, Arsenal yatakata.
Man United 0 , Liverpool 3
Arsenal 1 Spurs 0
Msimamo wa ligi
http://www.premierleague.com/content/premierleague/en-gb/matchday/matches.html?paramClubId=ALL¶mComp_190=true&view=.dateSeason.html
Arsenal 1 Spurs 0
Msimamo wa ligi
http://www.premierleague.com/content/premierleague/en-gb/matchday/matches.html?paramClubId=ALL¶mComp_190=true&view=.dateSeason.html
on
Asante Bwana Yesu kwa hatua hii...
Jana tarehe 16 march 2014 katika ibada zote mbili katika kanisa la TAG Kinondoni Revival Church ( KRC ) mmliki wa blog hii Bloger Daniel na Mtarajiwa wake Bibi Penina waliweka mambo hadharani na kuwekewa mikono na makuhani katika kanisa hilo na kisha baadaye katika tafrija fupi ya kuwapongeza wachumba iliyofanyika Chichi Hotel kinondoni , asante sana wote kwa kutuombea na tunahitaji pia neema na mchango wako wa mawazo na mali kufanikisha jambo hili mwezi wa sita mwishoni mwaka huu
Mungu wetu akubariki sana .
Daniel.
Jopo la viongozi wa kanisa la TAG Kinondoni revival church likiongozwa na Mama Askofu Dr Rogather Z .Swai wakiomba maombi ya baraka na ulinzi wa Mungu kwa wachumba.
Tukitakiana kheri na mkono wa pongezi, Asante Yesu kwa neema hii.
Tabasamu la ukweli ,
Keki maalumu..
Daniel na Penina.
Jamaa , ndugu na marafiki katika hafla ya kuwapongeza watarajiwa.
Mungu wetu akubariki sana .
Daniel.
Jopo la viongozi wa kanisa la TAG Kinondoni revival church likiongozwa na Mama Askofu Dr Rogather Z .Swai wakiomba maombi ya baraka na ulinzi wa Mungu kwa wachumba.
Tukitakiana kheri na mkono wa pongezi, Asante Yesu kwa neema hii.
Tabasamu la ukweli ,
Keki maalumu..
Daniel na Penina.
Jamaa , ndugu na marafiki katika hafla ya kuwapongeza watarajiwa.
on Sunday, March 16, 2014
Grab the latest iOS update
The latest update for Apple's mobile devices is rolling out now, bringing bug fixes and one major feature.The iOS 7.1 update isn't as big of an upgrade as iOS7 was, of course, but it does bring tweaks and additions to the formula anyway.For one, it brings support for Apple's CarPlay service, which essentially brings selected iPhone apps (such as maps and music player) to your car's display.
Of course, you'll need a specific 2014 car model (from the likes of Ferrari, Honda and Ford, to name a few) to actually make use of CarPlay. Other features include: the ability to manually control how long Siri listens to you, HDR mode by default for the camera and several tweaks to the user-interface.
As for bug fixes, iOS7.1 improves performance on the iPhone 4, improves Touch ID performance and fixes a homescreen crash bug.
on Tuesday, March 11, 2014
Why many Tanzanians now avoid paying taxes.
Two out of every 10 Tanzanians simply refused to pay tax between 2011 and 2013, it has emerged. According to a new Afrobarometer study, the number of self-reported levels of non-compliance are far higher in Tanzania than in the other 29 sub-Saharan countries surveyed.The report titled “Africa’s Willing Taxpayers Thwarted by Opaque Tax Systems, Corruption” was released on Tuesday. Survey data reveals widespread citizen commitment to the principle of taxation and to paying up for national development. But their enthusiasm is dimmed by taxation systems across the continent that remain opaque to the majority. Perceived corruption among tax authorities remains significant and evidence suggests these perceptions undermine public commitment to the integrity of the tax system and increase the likelihood of non-compliance, according to the report.
Source: http://www.thecitizen.co.tz/News/Why-many-Tanzanians-now-avoid-paying-taxes/-/1840392/2235708/-/wcnvh3/-/index.html
on
AHLY : KUITOA YANGA NI BAHATI TU
Kocha wa Al Ahly, Mohamed Youssef amesifu umakini na nidhamu ya hali juu ya mchezo ilioonyeshwa na wachezaji wa Yanga na kusema ushindi wa timu yake ulikuwa wa ‘ngekewa’ na si uwezo wa uwanjani.
Al Ahly iliiondoa Yanga kwa penalti 4-3 baada ya
mchezo huo kumalizika kwa mabingwa wa Afrika kushinda 1-0 hivyo kufanya
matokeo ya jumla kuwa bao 1-1 kutokana na Yanga kushinda bao 1-0 katka
mechi ya kwanza jijini Dar es Salaam.
Katika pambano hilo lililofanyika kwenye Uwanja wa
Max jijini Alexandria, mabingwa wa Tanzania, Yanga walicheza kwa
umakini katika kujilinda na kushambulia.
Yanga walishambulia wote na kila walipopoteza
mpira haraka walirudi golini kwao kujilinda kabla ya kuruhusu bao dakika
71 lililofungwa na Sayed Moawad.
Pia, Yanga mara tatu walipoteza nafasi kushinda
mchezo huo wakati wachezaji wake Said Bahanuzi, Oscar Joshua na Mbuyu
Twite walipopoteza mikwaju yao ya penalti.
Kocha Youssef alisema mchezo ulikuwa mgumu sana
kwetu. Tulitaka kushinda katika muda wa kawaida, lakini haikuwa rahisi
kwa sababu hatukuwa makini katika kutumia nafasi.
“Watu wengi walifikiri tutawafunga kirahisi Yanga.
Hiyo siyo kweli... ilikuwa timu imara, lakini cha muhimu tumefuzu,”
Youssef aliuambia mtandao wa Cafonline.
“Bao letu tumelipata kama bahati ya Mungu tu, pia
tunashukuru kwa kiwango cha juu cha kipa wetu Sheriff Ekramy aliyeokoa
penalti tatu.”
Tizama penalti iliyowapatia ushindi mafarao wa Misri : National Al Ahly
Tizama penalti iliyowapatia ushindi mafarao wa Misri : National Al Ahly
on
Waandishi wa habari wazuiwa Kamati za Bunge la Katiba Waandishi wa habari wazuiwa Kamati za Bunge la Katiba
Bunge Maalumu la Katiba limepitisha kanuni ya kuwazuia waandishi
wa habari kuingia katika vikao vya kamati za chombo hicho, hatua ambayo
inaelezwa ni kinyume na Katiba inayotoa uhuru wa wananchi kupata
habari.
Kanuni hiyo ilipitishwa jana baada ya malumbano
makali yaliyowagawa wajumbe wa bunge hilo, baadhi wakipinga kifungu
hicho kwa sababu kinavunja Katiba ya nchi inayotoa uhuru kwa waandishi
kukusanya na kusambaza habari na wengine wakiunga mkono kuwazuia.
Kanuni hiyo ilipitishwa kwa mbinde huku baadhi ya wajumbe wakiendelea
kushikilia msimamo wa kuikataa, hata baada ya Mwenyekiti wa Muda wa
bunge hilo, Pandu Ameir Kificho kuridhia kipite. Wajumbe waliopinga
kanuni hiyo ni Joshua Nasari, Moses Machali, Peter Serukamba, Ezekiah
Wenje na Maria Sarungi.
Baadhi ya wajumbe akiwamo Katibu Mtendaji wa Baraza la Habari Tanzania (MCT), Kajubi Mukajanga walisimama kutaka kuzungumza lakini hawakupata fursa hiyo.
Mjumbe aliyekuwa mwiba kwa Tasnia ya Habari ni, Dk
Harrison Mwakyembe ambaye aliwashawishi wajumbe kufunga mjadala huo ili
wasonge mbele kwa madai kuwa hata yeye pia ni mwanahabari. “Hakuna
upande usiotambua umuhimu wa vyombo vya habari katika mchakato huu...
Tunachotofautiana ni jinsi na namna
ya ushiriki wa vyombo vya habari,” alisema Dk
Mwakyembe. Alisema Taifa limeingia katika kipindi maalumu kama cha vita
na kwa msingi huo, kanuni zinabadilika kulingana na mazingira na kwamba
vyombo vya habari vinapaswa kulitambua hilo.
Soma zaidi http://www.mwananchi.co.tz/habari/Kitaifa/Waandishi-wa-habari-wazuiwa/-/1597296/2234078/-/2npu1p/-/index.html
Soma zaidi http://www.mwananchi.co.tz/habari/Kitaifa/Waandishi-wa-habari-wazuiwa/-/1597296/2234078/-/2npu1p/-/index.html
on Thursday, March 6, 2014